MfanyakaziHewa
Senior Member
- May 21, 2016
- 162
- 422
Single mother kwenye ubora wao.
Hutaki kujipongeza 😂natoa ushuhuda halafu tena nijipigie makofi mwenyewe, kweli jamani ndrugu zangu?
akati nipo apa nasoma comments na kufungua vitabu ili nitoe ushauri mujarabu kwa majeruhi...
Niamini mimi hamuwezi kuachanaHuyu dada nilikuwa nampenda Sana na kwa muonekano alikuwa ni wife material.
Licha ya kuwa nilimpenda na nimekuwa natoa hela ya matumizi Ila akawa ananipikia ugali na mboga za majani, yeye na mwanaye wanakaanga ndizi, viazi ulaya na nyama wanaweka na kachumbari. Siku akinipikia wali nyama, wao wanakula wali nyama na matunda/ juice. Yaani Ni lazima aweke utofauti kwenye mlo wangu na wa kwao. Nimemuonya mara nyingi aache ubaguzi maana hela ya chakula siyo yake iweje wananibagua? Lakini hakusikia
Nikaona niwafukuze tu
Tumezozana usiku wa kuamkia Leo hataki kutoa vitu nje lakini nimemshinda.
Hili ndiyo kosa lako la kiufundi ulifanya..Elewa basi, Ni mpenzi tu. Mtoto nilimkuta naye
Duh! AiseeHili ndiyo kosa lako la kiufundi ulifanya..
kila siku tunasema single mother siyo mtu wa kuweka ndani . Ni wakula na kusepa tena unalia gest na siyo lodge
Mnakula meza moja alafu anakunyimaje sasaElewa basi, Ni mpenzi tu. Mtoto nilimkuta naye
Mbona unanitukanaKumbe kuna majitu majinga bado kwahyo ulimpenda sana mtu usieweza kuzaa nae ulimpenda sana mtu alieamua kuzaa na kidume akaja kwako mdebwedo umlelee mtoto wake mkuu ww ni pimbi singo maza sio binadamu wa kawaida
Onyesha tusiMbona unanitukana
Kama ana tabia hizo hata mkae Vikao vikisimamiwa na UN hawezi kubadilikaPole gentleman,
ungemtuma akapumzike au akapate kalikizo kidogo kwao , then akirudi mnakaa na kukubaliana jinsi ya utaratibu wa kula hapo nyumbani, na unampa utaratibu mathalani wa kula chakula pamoja mfano chai, lunch au dinner..
Ni ngumu kukutana kwenye milo hiyo mitata but ile ambayo unaweza..
Hii ingesaidia kuondoa hiyo changamoto kidogo