Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Tukiwa humu tunakorofishana tunatukanana muda mwingine na muda mwingine tunafurahi pamoja, ni kama vile tuko kwenye metaverse. Unaweza pretend you have it all, umefanikiwa, umesoma sana you can be anybody.
Lakini ukweli tunaujua sisi wenyewe.
Leo nimekutana tena hii thread ya aliyekuwa member mwenzetu Folk (Rip) Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)
Nikakumbuka enzi zake kuanzia 2013 alikuwa anajaribu kutueleza anachopitia, lakini wengi wetu tulimbeza.
Hata 2018 aliweka thread yake ya mwisho kutuambia kuwa siku zake kuishi zimefika ukingoni bado kuna ambao hawakuamini akaendelea kubezwa.
Lakini huwezi kulaumu watu kwa kufanya vile maana utapeli mtandaoni umekomaa.
Ila ikitokea mtu kaomba msaada kama unaweza kumsaidia msaidie tu kama akiwa tapeli basi atajuana yeye na Mungu wake.
Kuna watu wengi wanakuwa na shida kweli sema tunawakatisha tamaa zaidi.
Rip Folk, Rip Warumi, only the dead have seen the end of war.
Thou apart, we are still a team
In the end life signifies nothing
Lakini ukweli tunaujua sisi wenyewe.
Leo nimekutana tena hii thread ya aliyekuwa member mwenzetu Folk (Rip) Nimeambiwa nitafariki baada ya miezi 4 kutokana na kansa ya kongosho (pancreatic cancer stage 4)
Nikakumbuka enzi zake kuanzia 2013 alikuwa anajaribu kutueleza anachopitia, lakini wengi wetu tulimbeza.
Hata 2018 aliweka thread yake ya mwisho kutuambia kuwa siku zake kuishi zimefika ukingoni bado kuna ambao hawakuamini akaendelea kubezwa.
Lakini huwezi kulaumu watu kwa kufanya vile maana utapeli mtandaoni umekomaa.
Ila ikitokea mtu kaomba msaada kama unaweza kumsaidia msaidie tu kama akiwa tapeli basi atajuana yeye na Mungu wake.
Kuna watu wengi wanakuwa na shida kweli sema tunawakatisha tamaa zaidi.
Rip Folk, Rip Warumi, only the dead have seen the end of war.
Thou apart, we are still a team
In the end life signifies nothing