Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,992
- 69,391
freshSante braza..!
freshSante braza..!
Achana na huyu mdudu, ni sawa na demu mrefu hajawahi kuboa mwanaume ata kama kijanaume ni kianduje kinapenda demu twiga aka taifa star.Kweli kila mmoja na gari anayoipenda aiseee
Napenda sana Jaguar na range Rover aiseeee cjui why?
Huyo akijulikana mwezi wa tatu haifiki ataishi kama shetaniYaani leo nikiwa town nafanya fujo na kijigari cha ndugu yang kiji-RAV4 cha ndugu yangu, si haba kinanisaidia napatapata magoma mjini Mungu ni mwema,
Sasa nikatoka kuchimba somewhere chaka moja, namkwara mkubwa mara ghafla nikaona mdada mdogo kabisa umri wa kuwa mdogo wangu mara kazamia lile chaka na MNYAMA HUU HAPA CHINI View attachment 613178View attachment 613179
Niseme ukweli nimejihisi baridi ghafla na huyu mdada anavyolipiga lesi hili dudu kanitia hasira sana, hatua ya kwanza lazima ni angalau niliendeshe kulimiki ni majaliwa ya Mungu..! Nimejihisi uchungu mkubwa sana.
mkuu sio kweli,wanazo wengi tu hapo mjini...hii hammer ya clara anakaa mbezi pwani huko karibu na bahari beach(mbezi pwani ni jina jipya tunalitumia tunaoishi ukanda wa bahari huku mbezi beach)mitaa ya sykes..Kweli???
anafanya shughuli gani huyo clara hapo town?mkuu sio kweli,wanazo wengi tu hapo mjini...hii hammer ya clara anakaa mbezi pwani huko karibu na bahari beach(mbezi pwani ni jina jipya tunalitumia tunaoishi ukanda wa bahari huku mbezi beach)mitaa ya sykes..
UNAJUAJE JINSI ALIVYOPATA,JE KAMA ALIMEZA ZILE PIPI!!!
Ni mdada mwenye nayo eti???mkuu sio kweli,wanazo wengi tu hapo mjini...hii hammer ya clara anakaa mbezi pwani huko karibu na bahari beach(mbezi pwani ni jina jipya tunalitumia tunaoishi ukanda wa bahari huku mbezi beach)mitaa ya sykes..
Asante kwa kunitia moyo aisei..!Acha kujipa stress rizika na ulichonacho huyo unayemwona kwenye Hammer nae anatamani awe na private jet ila hawei kuipata na mwenye private jet nae anatamani awe na kisiwa chake cha peke yake ila hawezi.