Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,444
- 25,591
Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.
Angalia picha hapa upate jibu.tupe tathmini ya mikutano yako mkuu.make kuna watu hapa wanapotosha
haaa, jembe la iramba kwa ajili ya wanyiramba, kazi yake ni kugawa chumvi na kanga, na matusi kama ndugu yake lusinde!Nilijua tu jembe letu litaibuka kuclear uzushi ulioenezwa humu washambenga
Whether umezomewa au hujazomewa, lakini mimi nakuonya uache kumdhalilisha yule kijana mliyemmwagia tindikali kule Igunga, na kuanza kumtembeza kama kinyago kwenye mikutano eti huo nao ni mtaji wenu kisiasa? Hammutendei haki kabisa yule kijana japo ni maskini. Kama mnataka kumpa kazi ya kampeni, mpeni lakini si kupita kwenye kila mkutano nchi nzima mkimdhalilisha kutokana na ulemavu mliousababisha wenyewe. Ni nani asiyewajua CCM kwa mbinu zenu za kuwatuma polisi waue kwenye mikutano ya CHADEMA ili mpate mtaji wa kisiasa kwamba CHADEMA wameua? Yaani mkiwa mnatafuta kura roho ya utanzania huwa inawatoka kabisa, badala yake mnatumia nguvu nyingi tu kuhakikisha mnashinda bila kujali mnawaachaje watanzania mara baada ya uchaguzi. Ni spirit hiyo hiyo ndiyo imepelekea nchi kuingia kwenye udini. Hebu wekeni maslahi ya nchi mbele kwanza kabla ya kujifikiria ushindi wetu peke yake.Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.
Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.
Mwigulu Nchemba mimi ni mwana CCM damu na sioni haya kusema kwamba naipenda CCM toka moyoni mwangu, lakini bwana kaka wewe ni miongoni mwa watu wachache sana ambao mnanikera ndani ya CCM.
NAOMBA NIKWAMBIE WAZI
nakerwa na wewe kujisifu na kujigamba ilihali siasa inataka facts na siyo majigambo
nakerwa na wewe kumdhalilisha kijana mlemavu jukwaani kana kwamba hujui haki za binadamu,,,,,,,,,yaani ulimfanya kinyago cha mpapure ambacho kiko dukan kinasubiri mteja
nakerwa na wewe kushinda unapoteza muda wako hapa jf kunadi upuuzi badala ya kuongelea mambo ya msingi. kwangu mm uzomewe usizomewe hyo siyo ishu ila tunaaka tujue umezinadi vipi sera na ccm?? je umekutana na changamoto zipi wewe kama mdau wa ccm ulipokuwa kwenye kampeni?? je wafikiri utashawish vipi viongozi wenzako ili ccm yetu ibaki kuwa imara?? sasa wewe kuja na hoja sijazomewa kwani huko arusha ulitumwa kwenye mtihan wa kuzomewa?? sijui kama kuna tuzo za mtu ambaye hajazomewa kisi kwamba umekuja jf kutaka tukupigie kura kwamba umezomewa ama la.
kimsingi hata mm ambaye sijawah kupanda majukwaani naweza nikawa mnadi mzuri wa sera za ccm kuliko wewe. jifunze siasa ni nini na siyo siasa za ujuha.
Acha kuleta propaganda zako hapa.Umefanya mkutano au umehubiri majungu na matusi na kumdhalilisha kijana wa watu unayemtembeza majukwaani kwa maslahi yako kisiasa.
Mbona hujajibu tuhuma za kuagiza kambi ya green guard iundwe kule Mbeya na kufanya jaribio la kuteka viongozi wa CHADEMA jana?
Green guard wanaendesha mafunzo,polisi wanaona kawaida.Sasa itabidi tujilinde kwa kutumia Red Brigade!Siasa zenu za kihuni tutazikomesha
Majibu uanayajua sema kiburi tu unacho bc pata ii..Ilooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo..chemba Ilooooooooooooooooooooo
Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.
Hadi akaona aibu akataka akimbie! !Nilikuwepo maeneo ya Mianzini na umezomewa sana.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums