mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.
kua makini siku hizi watu wanakimbiza mwizi kimya kimya,