BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,507
- 11,883
Wana jf nimefanya mikutano mitatu mpaka sasa hakuna hata mkutano mmoja nimepatwa na kelele ya aina yeyote. Anayedhani kuna mkutano nimezomewa aendelee kuamini hivyohivyo, majibu yanakuja tar 16.
Jf sio mahali pa kutoa takwimu za mikutano yako uliyofanya,hayo kamueleze bosi wako Kinana.Eleza umefanya nini kupunguza au kuondoa umasikini jimboni kwako ili watu wapate cha kujifunza kama ni idea nzuri