Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,333
- 5,314
Wakuu,
Nilikuwa natazama kipindi cha uswazi cha EATV. Kuna dogo mmoja ana akili sio mchezo na ni mgunduzi wa vitu mbalimbali
- Ana kifaa kimoja kina uwezo wa kufundisha masomo kadri utakavyo feed
- Amebuni njia ya kutoa maji japo hii sikuona toka mwanzo
- Ameulizwa maswali ilikiwa akikutana na waziri wa elimu atamuuliza nini akasema atamwambia apunguze masomo ya shule ya msingi kwani masomo ni mengi wakati maisha ni kitu kimoja.
- Akaulizwa kama Rais ajaye anataka wa namna gani akasema hajaona Rais anayemtaka maana wao wanaamini hakuna vichwa uswazi.
- Akaulizwa kwanini kila mara anamtaja Mwalimu Nyerere, akasema kwake Nyerere bado hajafa anaishi.
Tafadhali mtazame kesho maana naamini hiki kipindi kitarudiwa ila mimi nimebaki kichwa wazi. Pia ana AC katenegeneza yeye anauza 15,000/=.
Nilikuwa natazama kipindi cha uswazi cha EATV. Kuna dogo mmoja ana akili sio mchezo na ni mgunduzi wa vitu mbalimbali
- Ana kifaa kimoja kina uwezo wa kufundisha masomo kadri utakavyo feed
- Amebuni njia ya kutoa maji japo hii sikuona toka mwanzo
- Ameulizwa maswali ilikiwa akikutana na waziri wa elimu atamuuliza nini akasema atamwambia apunguze masomo ya shule ya msingi kwani masomo ni mengi wakati maisha ni kitu kimoja.
- Akaulizwa kama Rais ajaye anataka wa namna gani akasema hajaona Rais anayemtaka maana wao wanaamini hakuna vichwa uswazi.
- Akaulizwa kwanini kila mara anamtaja Mwalimu Nyerere, akasema kwake Nyerere bado hajafa anaishi.
Tafadhali mtazame kesho maana naamini hiki kipindi kitarudiwa ila mimi nimebaki kichwa wazi. Pia ana AC katenegeneza yeye anauza 15,000/=.