Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,405
5,031
Wadau hamjamboni nyote?

Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa.

Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame na Waziri Mkuu wa Ethiopia Dr. Abiy Ahmed pamoja na nyinginezo
kwa rejea yako

Usiku mwema

1716409521910.jpg
oardefault.jpg
232e9737fb1a1fb52358f62725edbed2.jpg
1716409451916.jpg
1716410669703.jpg
1716410652275.jpg
 
Usicho kielewa ni kwamba, watusi na waethiopia ni watu wawili tofauti kabisa.
1. watusi ni warefu na weusi, ethiopians wafupi na weupe
2. hakuna mtusi mwenye nywele za maburushi, waethiopia nywele wengine kama waarabu
3. watusi wametokea along that Nile rive, eneo la Sudan kuelekea Misri, waethiopia wametokea pale walipo.
4. weusi mzuri wa watusi huwezi kuukuta ethiopia.
kwaiyo watusi hawajatokea ethiopia, ila walisambaa walitokea maeneo ya Axum, along Nile river kwenye mipaka ya ethiopia na sudan kuelekea egypt.
 
Wadau hamjamboni nyote?

Leo nimeamini kuwa Watutsi na Waethiopia ni ndugu wa damu kabisa na kama kuna tofauti basi ni nchi tu wanazoishi kwa sasa.

Tazama picha hapo chini ya Rais Paulo Kagame na Waziri Mkuu wa Ethiopia Dr. Abiy Ahmed pamoja na nyinginezo
kwa rejea yako

Usiku mwema

View attachment 2997061View attachment 2997068View attachment 2997069View attachment 2997070View attachment 2997074View attachment 2997075
ungesema wairaq wa kule mbulu sawa
 
Back
Top Bottom