2tamkumbuka goal poacher we2 Jeryson Tegete.
Umakini mdogo! Huyu Machupa kakosa goli la wazi ni yeye na kipa. Au pressure nyumban?
tatizo watu hawaelewi, unapoamua kufanya ujanja ujanja kila sehemu ukaziacha njia zilizo sahihi utegemee matokeo kama haya. Tff
1) wanazengua sana kufanya kazi zao kwa umakini, utakuta tiketi za 5000 zinauzwa kwa 10000 unategemea watu wataingia uwanjani na morali ya kushangilia timu hapo?
2)timu inategemea nguvu za akina maji marefu, watu hawafuati taratibu za kiprofessional kucheza mpira wanajitungia tu matokeo yake ndo kama hayo. Acha vijana wetu wabaki kulilia katiba mpya labda itatukomboa.
Dharau mbaya, nadhani Stars waliidharau Chad!