Africana Jr.
Senior Member
- Apr 14, 2011
- 123
- 17
Taifa stars bado kabisa! Hatua ya makundi itakuwa aibu. Kama ningekuwa kocha ningechukua wachezaji wengi wa timu ya jeshi- JKT Oljoro na baadhi ya wachezaji strikers kuongeza nguvu
Mpira umekwisha hatimae!!!stars imesonga mbele kuingia makundi lakini kazi ipo kwa kweli tunapoelekea loh!!!!!!!!
Mungu ibariki tanzania
sitaki kuamini kama tumefungwa na hao wajinga wajinga..
LEO NDIO TUMEAMINI KUTOSHINDA KWA TAIFA STARS NDIO INAONESHA UKWELI WA VILABU VYETU HIZI SIMBA NA YANGA NI TIMU ZA RUSHWA NDOMANA ZINASHINDA SANA SIMBA NA YANGA KUFUNGWA KWAO SIMBA NA YANGA WAKICHEZA WENYEWE KWA WENYEWE!!! wanapokuja kuwa pamoja timu kila siku inafungwa utafikiri wachezaji wanakuwa na wivu wa wenyewe kwa wenyewe Pasi zilivyo mbovu hayo ni maoni yangu sijui nyie.