Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,207
- 5,990
- Thread starter
- #41
Naingia Fall mkuu, chuo hakijafunguliwa bado hadi sasa.Ndo JF mkuu take it easy.
I wonder unaingia chuo fall au spring maana fall shule nyingi zinafungua this week na zingine very soon. Spring ni January wanaweza kusema unawahi sana.
Naujua mziki wao hao jamaa maana niliucheza miaka hiyo mambo za rudi-go na tukatusua.
Ungesema mapema ningekushauri uende kumuona education advisor wao pale embassy hana la maana la kukwambia na sio lazima ila inakuongezea credit kwa consulars wakati wa interview. Good luck