Leo nafanya interview Ubalozi wa Marekani kwa ajili ya viza

Ndo JF mkuu take it easy.

I wonder unaingia chuo fall au spring maana fall shule nyingi zinafungua this week na zingine very soon. Spring ni January wanaweza kusema unawahi sana.

Naujua mziki wao hao jamaa maana niliucheza miaka hiyo mambo za rudi-go na tukatusua.

Ungesema mapema ningekushauri uende kumuona education advisor wao pale embassy hana la maana la kukwambia na sio lazima ila inakuongezea credit kwa consulars wakati wa interview. Good luck
Naingia Fall mkuu, chuo hakijafunguliwa bado hadi sasa.
 
Ndugu yangu watu wasikupandishe shaka visa sio ngumu as longer as huko na proper documentation . Pili Maisha ya US sikuhizi mwanzoni yamekuwa magumu sana maana ili kupata kazi unahita ID na Social security number ID kupata raisi tu ila social security number huwa hawatoi kwa wanafunzi hadi upate kazi shuleni na kazi za shule huwa ngumu kupata sababu foreign students wote wanazigombania na walio nazo hawaachi so uwe na mtu wa kukupoke au pesa ya kutosha kukuwezesha kwa muda mrefu kidogo.
 
Ndo JF mkuu take it easy.

I wonder unaingia chuo fall au spring maana fall shule nyingi zinafungua this week na zingine very soon. Spring ni January wanaweza kusema unawahi sana.

Naujua mziki wao hao jamaa maana niliucheza miaka hiyo mambo za rudi-go na tukatusua.

Ungesema mapema ningekushauri uende kumuona education advisor wao pale embassy hana la maana la kukwambia na sio lazima ila inakuongezea credit kwa consulars wakati wa interview. Good luck
I'm thankful Mkuu
 
Ndugu yangu watu wasikupandishe shaka visa sio ngumu as longer as huko na proper documentation . Pili Maisha ya US sikuhizi mwanzoni yamekuwa magumu sana maana ili kupata kazi unahita ID na Social security number ID kupata raisi tu ila social security number huwa hawatoi kwa wanafunzi hadi upate kazi shuleni na kazi za shule huwa ngumu kupata sababu foreign students wote wanazigombania na walio nazo hawaachi so uwe na mtu wa kukupoke au pesa ya kutosha kukuwezesha kwa muda mrefu kidogo.
Nashukuru kwa ushauri Mkuu.
 
Salamu wakuu,

Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani. Hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi.

Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.

Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu. Nitaleta mrejesho.

Wasalaam.
Kila La kheri,
Jiamini, Jibu maswali kwa kujiamini,
Mtazame Interviewer straight kwenye Paji lale la uso, usitupe jicho pembeni,
Ishara ya mikono iendane na Unachozungumza, lakini pia isi-swing too much hasa kwenye Open- ended Questions.
 
Ndugu yangu watu wasikupandishe shaka visa sio ngumu as longer as huko na proper documentation . Pili Maisha ya US sikuhizi mwanzoni yamekuwa magumu sana maana ili kupata kazi unahita ID na Social security number ID kupata raisi tu ila social security number huwa hawatoi kwa wanafunzi hadi upate kazi shuleni na kazi za shule huwa ngumu kupata sababu foreign students wote wanazigombania na walio nazo hawaachi so uwe na mtu wa kukupoke au pesa ya kutosha kukuwezesha kwa muda mrefu kidogo.

Kazi za chini ya meza bado zipo nyingi tu depends na mwenyeji wake. Watu kadhaa wamefika mwaka huu na the very next day wameamkia box za chini ya meza. Ni uthubutu wake na ujanja wa mwenyeji wake.
 
Kazi za chini ya meza bado zipo nyingi tu depends na mwenyeji wake. Watu kadhaa wamefika mwaka huu na the very next day wameamkia box za chini ya meza. Ni uthubutu wake na ujanja wa mwenyeji wake.
True zipo lakini malipo duni sana haziwezi kumlipia shule na bills kamanda ila yote kwa yote huku hakuna kisichowezekana kama mvumilivu na uwa hatutupani kokote uendako wabongo wa huko hawata kutupa hata kama humjui mtu .
 
Visa za shule sio ngumu sana so long as umejipanga.

Uwe unajua chuo unachoenda na mahala kilipo. Sema unaenda kukaa campus au Karibu na chuo, hopefully bank statement yako imeshiba.

Hakikisha huwapi sababu ya wao kudhani utazamia, wape malengo yako kwamba utarudi kula vumbi bongo mara shule yako ikiisha. Kimsingi visa interview ni kuwatoa hofu pasi na shaka kwamba utarudi bongo.

Unaweza ulizwa maswali ya hapa na pale kama kwanini hiyo course, umekijuaje hicho chuo, utafikia airport gani, ni kipi unachokijua kuhusu chuo kilipo nk. Ni vyema ukajipanga Incase yakitokea.

Kama una educational background nzuri, i20 na BS inasoma fresh utapata tu hata wakikunyima now omba tena utapewa.

Unakuja for school purposes so lazima interview yako iwe in English usijidanganye kuomba wakufanyie kwa kiswahili hawakubali. Good luck
Haya yote kisa viza tu ya kwenda Ulaya!!?? Wakati wao wakija kwetu wanachukua viza yetu at arrivals! Kwa urahisi tu!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Action yeyeto ya non refundable ni wizi kama wizi mwingine. Unaomba chuo, shule, visa,tenda, nk wanaprint form kibao then wanachukua wachache si wizi huu. Kwa utaratibu application fee wasilipe only selected. Pata viza Kwanza, chuo, shule, tenda kwanza kisha ndo waliopata ndo walipie hio fee. Huu ni wizi na embassy ndizo zinaongoza kwa wizi huu. Mtu akikosa viza, chuo, tenda, nk arudishiwe pesa yake. Acheni wizi
 
Thanks much mkuu, wewe ni miongoni mwa watu bora sana, nashukuru kwa ushauri wako mzuri, nitaufanyia kazi.

Kuna baadhi ya watu humu, wapo ili kudharau kila kitu kinachoandikwa, unaweza ukashangaa kwangu mimi kuandika neno MNIOMBEE ndio imekuwa main ajenda. As if ni neno geni, baya, lisilo sitahiki kusikika kwenye umma.

Anyway sishangai, maana akili za wengi wetu nazijua, wivu, ujinga , uchawi na husuda.

After all nashukuru sana, umenijenga, Mungu akubariki.
Achanaga na watu wa JF kama una jambo lako.

Wengi wamejaa upuuzi,chuki,husda,vijino pembe,vijicho.

Kama una jambo lako lifanye kimya huko hadi ufanikiwe ndio uamua ulilete hapa au usilete.

Wakati mwingine kuwaambia watu jambo kabla halijafanyika ni kukaribisha negative energy around You.

JF ya Sasa imekaa kiajabuajabu sio kama zamani
 
Haya yote kisa viza tu ya kwenda Ulaya!!?? Wakati wao wakija kwetu wanachukua viza yetu at arrivals! Kwa urahisi tu!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Marekani haiwezi kufanya viza on arrival haitosaidia kwa vile kununua ticket mashirika ya ndege yangekuwa pia yanahakikisha huwezi nyimwa kabla ya kukuchua maana ukinyimwa inabidi wakurudishe kwa gharama zao
 
Marekani haiwezi kufanya viza on arrival haitosaidia kwa vile kununua ticket mashirika ya ndege yangekuwa pia yanahakikisha huwezi nyimwa kabla ya kukuchua maana ukinyimwa inabidi wakurudishe kwa gharama zao
Na watu wa viza wa embassy lazima wakulazimishe waone umekata ticket, wakati hata bado hawajafanya maamuzi ya kukupa viza, maana walivyo Wajinga wanakulazimisha kukata ticket alafu kwenye viza wanakupa refusal tena!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Achanaga na watu wa JF kama una jambo lako.

Wengi wamejaa upuuzi,chuki,husda,vijino pembe,vijicho.

Kama una jambo lako lifanye kimya huko hadi ufanikiwe ndio uamua ulilete hapa au usilete.

Wakati mwingine kuwaambia watu jambo kabla halijafanyika ni kukaribisha negative energy around You.

JF ya Sasa imekaa kiajabuajabu sio kama zamani
Ninaungana nawe 100%,umeona hawa dot.com wanavyojibu ili kukukatisha tamaa, all the best mkuu ,fanya vitu to the basic, documents zako ziwe byeeee, vaa casual but smart, eye contact ni muhimu mno, swali kama hujui jibu ,honestly waambie hujui (crocodiles wanachukia mno mtu mwongo),majibu yawe mafupi down to details, always onyesha ukweli wako na kama wapo zaidi ya wawili always maintain eye contact na anayekuuliza ,Good luck
 
Na watu wa viza wa embassy lazima wakulazimishe waone umekata ticket, wakati hata bado hawajafanya maamuzi ya kukupa viza, maana walivyo Wajinga wanakulazimisha kukata ticket alafu kwenye viza wanakupa refusal tena!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Inategemea unaenda kufanya nini wanafunzi hawalazimishwi kununua ticket kwanza …. ila ukilipa collage fees kabla ya kuomba visa unakuwa na advantage ya kupa . ila ukiwa unakuja kutembea ni lazima uwe na round ticket kabla ya kuomba visa
 
Back
Top Bottom