jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,834
- 7,746
Mkuu,unajua kwamba kwa kuweka hii taarifa hapa tayari unaweza kupoteza au kupata max zaidi katika usahili huo?Salamu wakuu,
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.
Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.
Wasalaam.
Kwani kuomba visa ni sifa ? hata wewe si unaweza kulipia ukaenda kuombaMleta mada lazima utakuwa unatokea kulee kwa wale jamaa wenye kupenda misifa
Nina dem anaitwa KUDRA. Hivi hii maana yake nini mkuu leo niende nikamsaprayiziUnadhani wote ambao huwa wanaokoswa huwa hawamshawishi consular officer? wakati mwingine jitahida haizidi kudra Mkuu, ndio maana namuomba Mungu.
Utafanikiwa kaka naamini Mungu atakufanikisha, Amen.Salamu wakuu,
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.
Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.
Wasalaam.
Ni SAwa na Uhamiaji wanataka admissions ya chuo ndipo wakupe pasipoti, na chuo nao awakupi admissions bila pasipoti.Na watu wa viza wa embassy lazima wakulazimishe waone umekata ticket, wakati hata bado hawajafanya maamuzi ya kukupa viza, maana walivyo Wajinga wanakulazimisha kukata ticket alafu kwenye viza wanakupa refusal tena!!!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Thanks so much Boss.Good luck.
Sawa ahsante.msalimie Snoop, mwambie ndugu zake huku matimira wanamsalimia, usisahau pia kumjulisha Babu yake Dr Remmy Ongala alishafariki kitambo.
Otherwise, sisi tupo tupo hapa shamba la bibi tunaijenga Tanzania yetu na ukirudi utaikuta zaidi ya Newyork.
Amina Mkuu.Utafanikiwa kaka naamini Mungu atakufanikisha, Amen.
Shukran Mkuu.Hongera Sana hata Kwa hatua hiyo
Mkuu watu kama hawa usiwajibu achana nao tu.Kwani kuomba visa ni sifa ? hata wewe si unaweza kulipia ukaenda kuomba
Sawa nashukuru.Mleta mada lazima utakuwa unatokea kulee kwa wale jamaa wenye kupenda misifa