Invigilator
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 3,206
- 5,990
- Thread starter
- #81
Amina kiongozi.Mwenye Enzi Mungu akuongoze
Amina kiongozi.Mwenye Enzi Mungu akuongoze
Amekuwa Mkuu, nashukuru sana.I wish you all the best brother hopefully god atakuwa upande wako.
Ahsante sana mkuu, nimejifunza jambo kubwa sana leo kuhusu watanzania.Ninaungana nawe 100%,umeona hawa dot.com wanavyojibu ili kukukatisha tamaa, all the best mkuu ,fanya vitu to the basic, documents zako ziwe byeeee, vaa casual but smart, eye contact ni muhimu mno, swali kama hujui jibu ,honestly waambie hujui (crocodiles wanachukia mno mtu mwongo),majibu yawe mafupi down to details, always onyesha ukweli wako na kama wapo zaidi ya wawili always maintain eye contact na anayekuuliza ,Good luck
kwenye Interview ulivaa makobazi na uchebe? ~ jokingWabillah tawfiq.
kesho siki ya sensa ndio anaenda ichukuaWhere's a photo?
Ahsante kiongozi, ahsante sana, nimefurahi nimefanikiwa.Kila La kheri,
Jiamini, Jibu maswali kwa kujiamini,
Mtazame Interviewer straight kwenye Paji lale la uso, usitupe jicho pembeni,
Ishara ya mikono iendane na Unachozungumza, lakini pia isi-swing too much hasa kwenye Open- ended Questions.
Salamu wakuu,
Baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu, nikihangaikia suala la kutoka huku nchini kwetu kwenda Marekani, hatimaye leo ndio siku yenyewe ya kujua mbivu na mbichi. Nitakuwa ubalozini kwa ajili ya visa interview saa tatu na dakika 45 asubuhi hii.
Namuomba sana Mwenyezi Mungu anifanikishe katika jambo hili, niombeni pia rafiki zangu, nitaleta mrejesho.
Wasalaam.
Nikishapiga picha?Tupigie picha hiyo page.
Ahsante sana MkuuOngera mkuu.
Ok mkuu, kila la kheri kwake.kesho siki ya sensa ndio anaenda ichukua
Shukran MkuuHongera sana
Ahsante kwa kunijibia Mkuu.kesho siki ya sensa ndio anaenda ichukua
Ndio tuone,wengine hatujawahi kuona Visa ya Marekani.Nikishapiga picha?
Amina.Ok mkuu, kila la kheri kwake.
Just to confirm taarifa yako mkuu.Nikishapiga picha?
Mkuu hadi kesho ndio nitachukua, passport nimeacha Kwa ajili ya kugonga visa,ila nimepewa kadi kwa ajili ya kuchukulia.Just to confirm taarifa yako mkuu.