Leo imekuwa siku ya furaha kwa maskini

Leo imekuwa siku ya furaha kwa maskini

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
768
Reaction score
1,729
Tunaomba iwe kweli hii habari ya chief godlove kufulia na kunyang'anywa magari aliyokuwa anajigamba nayo kumbe siyo yake.

Vijiwe na vibaraza vya umbea vimechangamka balaa. Mitandao ya kijamii imechangamka.

Huzuni, shida na njaa zimetoweka kwa muda. Yani ni full shangwe.

Mungu kweli si athumani anajuwa kuwafariji wanyonge.

Furaha yetu ni tajiri akipatwa na matatizo kafulia, kafungwa, kafiwa na kugongewa.

Soma Pia: Huzuni tena kumbe yale magari ni yake
 
PXL_20260112_131944072.PORTRAIT.jpg


acha nipambanie na hali zangu
 
JAMAA alikuwa anatengeneza content.maana alijua atapata view nyingi na ni kweli kapata view za kutosha ambazo zitamwezesha kununua gari nyingine Kali aendelee kutamba
View alizokuwa anapata hata azifiki 40 K. Wachekeshaji kina kingpusi wanapata views zaidi ya million 200 kwa video moja na chini ya miezi sita kapata views billion 2. Na facebook inalipa usd 10000 kwa kila views million moja kwa hiyo kingpusi kaingiza USD 2 millions kwa miezi sita.
 
Tunaomba iwe kweli hii habari ya chief godlove kufulia na kunyang'anywa magari aliyokuwa anajigamba nayo kumbe siyo yake.

Vijiwe na vibaraza vya umbea vimechangamka balaa. Mitandao ya kijamii imechangamka.

Huzuni, shida na njaa zimetoweka kwa muda. Yani ni full shangwe.

Mungu kweli si athumani anajuwa kuwafariji wanyonge.

Furaha yetu ni tajiri akipatwa na matatizo kafulia, kafungwa, kafiwa na kugongewa.
Imekuaje, the story behind kufilisika huko.
 
Back
Top Bottom