Al Zagawi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 2,461
- 1,448
....hii principle ilitumika kwenye koroshow....Ni mfumo tu wa utendaji kazi sasa umebadilika, mtuhumiwa unatangulia kwanza kuhojiwa kisha aliyetoa tuhuma naye anahojiwa. Tunaanza kwanza kuchakata Output ndipo tunakuja kwenye Input.
Walipiga hesabu ya hela watakayoingiza wakiuza koroshow, kisha ndiyo warudi kulipa wakulima....namba zilivyo na roho stoki zikagoma....