MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,707
- 71,003
- Thread starter
- #41
Kwa kweli ni aibu, kwa kawaida ndugu au mtu baki akionekana amechanganyikiwa huwa anapelekwa hospitali, sasa huyu wanamuangalia tu, wanasubiri avue nguo au aumize mtu ndiyo wamkamateHawajali, ili miradi lengo lao linatimia. Mkuu watu washenzi hawana staha.