Leo FNL wameanza kwa maombi

Leo FNL wameanza kwa maombi

Interview yotee anaongelea mtoto utafikiri kaitiwaa aje kujitetea kwanini analea watoto wa kati mama zao wapo hai

ney wa mitego

siommwana hipop yaani haongei kigumu

hana sifa ya msanii
aeleweki
wenzake wakiendaga pale wanafanya juu chini asitoe personal life yake ili watu wawe curious kuijua na kuzidi kumkubali ila yeye ndo kaiiianika wewe hata muda wa kuongelea music hana ni mtoto tu kama yupo ustawi wa jamii
 
Hahaha Hahahaaa ommy dimpo kanichekeshaa kwelii etii "tumwombeee wemaa angie bungeni".
Anafikiri bungeni wanaingia wahuni wahuni tuuuu...
 
Kingee dimpoozi kaulizwa kwanini eti atoii support kwa domo kwakumpost kwenye social nertwerk kwamtazomo wangu sijaona alicho jibuu chamaaana
Kweli kuna umuhimu waa wa mastar wetu kijifunza jinsi yakujibu maswali..
 
Kingee dimpoozi kaulizwa kwanini eti atoii support kwa domo kwakumpost kwenye social nertwerk kwamtazomo wangu sijaona alicho jibuu chamaaana
Kweli kuna umuhimu waa wa mastar wetu kijifunza jinsi yakujibu maswali..

hawana skills za interview
ila why diamond akishafanya kazi na mtu maelewano yanapungua
hii si hadi kwa davido,bob junior

ni kweli ommy na diamond haziivi

lakib why diamond
anatatizo gani?
 
sijui mwezi mtukufu

ngoja tuone ....fuatana nami

nikawaida wanafanya ivo kila weekend ila hayo ni mambo ya behind the scene huwa hawawekwi laivu sana
unajua kuweka kipind live sio ishu ndogo kibongo bongo..
 
hawana skills za interview
ila why diamond akishafanya kazi na mtu maelewano yanapungua
hii si hadi kwa davido,bob junior

ni kweli ommy na diamond haziivi

lakib why diamond
anatatizo gani?

Kwani ni hao tu aliofanya nao kazi, mbona hujawaulizia kina Tudi Thomas, Shetta, Ney wa mitego, Iyanya, Waje, Khadija Khopa, Profesa Jay, Linex, Kcee, etc?
 
FNL....baada ya mwezi mtukufu kuisha yule bidada karudi tena😛😛😛
 
duh.... weekend yote hii mko majumban mnakodolea tv...!? au tarehe hazisomi....!!?
 
duh.... weekend yote hii mko majumban mnakodolea tv...!? au tarehe hazisomi....!!?

Unaendaga viwanja gani mkuu.??tv dio mpaka kuangalizia nyumbani.pamoja na hayo..hiz tarehe kweli zimetuna.
 
Back
Top Bottom