Leo dar es salaam kama dafur

Nitajitahidi kesho niweke TANGAZO hapa jamvini kuwakumbusha watu wasiende wala wasifuate yale magari maana ni feki na machakavu hata zile ndege ni used!!! Zinaweza kulipuka au kuanguka magari yanaweza kupasuka tyres na steering rod zote zimechoka yamepigwa rangi tu yale!!! SI ndio yale ya kashfa haya?!!!! Mmesahau??
 
Wanajiandaa na uhuru au wanapeleka kwenye kambi za kulipuka kule gongo la mboto na mbagala?
 
Figganigga! We piga picha tu kwn kukunyooshea kidole ndiyo kushindwa kupiga picha? Ikiwezekana zima flash ya camera ama ya simu. Hw ni mapapa hawana maana kwa Watanzania hata punje!
 
Back
Top Bottom