Leo Christmas? Mbona tofauti ni kubwa?

Leo Christmas? Mbona tofauti ni kubwa?

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
8,476
Reaction score
12,666
Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox.

Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.

Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.

Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.


WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII
 
Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox.

Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.

Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.

Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.


WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII
Kanisa la Orthodox husherehekea Krismasi Januari 7 kwa sababu linatumia kalenda ya Julian, ambayo iko nyuma kwa siku 13 ikilinganishwa na kalenda ya Gregorian inayotumika na makanisa ya Magharibi. Hivyo, tarehe 25 Desemba ya Julian huangukia Januari 7 kwenye Gregorian
 
Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox.

Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.

Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.

Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.


WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII
Wadanganye wajinga
Shia wanasherekea maulid tarehe ngapi? Na suni wanasherekea maulid tarehe ngapi?
 
Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox.

Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.

Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.

Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.


WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII
Kwani kusherehekea krismas ni ibada ? Hivyo siku yoyote unaweza kusherehekea hata mara 10 kwa mwaka nk hakuna dhawabu wala dhambi labda upate dhambi kwa yale unayo yafanya hiyo siku kuwa ni maovu
 
Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox.

Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.

Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.

Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.


WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII
Huu utofauti wa kusherekea maulid ni wapi?
Sunn husherehekea 12 rabi'-ul-awwal.
Shia husherehekea 17 rabi'-ul-awwal.

Hapo nani muislam halisi?
Hapo hakuna utofauti?
 
Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox.

Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.

Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.

Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.


WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII
Kwa wa islami huu ni mwezi wa ngapi na ni Mwaka WA ngapi
 
Wadanganye wajinga
Shia wanasherekea maulid tarehe ngapi? Na suni wanasherekea maulid tarehe ngapi?
Answar Sunna siku zote huwa wanasherikia Eid siku moja kabla ya Waislamu wa BAKWATA lakini serikali huwa haifanyi sikukuu yao kuwa sikukuu ya umma kitaifa yenye mapumziko.
 
Back
Top Bottom