Leo ni krismasi kwa mataifa kadhaa duniani, yakiadhimisha kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Mamilioni ya Wakristo wa dhehebu la Orthodox husheherekea Krismasi Januari 7, badala ya Disemba 25, iliyozoeleka na wengi. Unaweza kuiita Krismasi ya Orthodox.
Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.
Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.
Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.
WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII
Ni sikukuu inayopewa heshima kubwa kwa baadhi ya mataifa hasa ya magharibi.
Sababu kuu ya tofauti ya tarehe ya Krismasi iko kwenye matumizi ya kalenda tofauti.
Wakristo wa dhehebu la Orthodox hufuata kalenda tofauti na kalenda ya Gregorian ambayo kawaida hutumika katika nchi za Magharibi.
WAISLAM HATUNA TOFAUTI KAMA HII