Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,183
- 3,547
Wadada wengi mnapokuwa katika mahusiano huwa wanapenda ku insist upeleke barua kwao au uchumbie
Hivyo ningependa kufahamu hivi lengo kuu la kuandika barua ya posa na kuchumbia huwa ni nini haswaa
Na kwanini huwa tunachumbia?
Hivyo ningependa kufahamu hivi lengo kuu la kuandika barua ya posa na kuchumbia huwa ni nini haswaa
Na kwanini huwa tunachumbia?