Lengai Ole Sabaya na Wenzake wawili wahukumiwa miaka 30 Jela kwa kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha

Hilo la jambazi unalisema wewe siyo mahakama!
Kwani aporae Kwa kutumia silaha huko lumumba mnamwitaje manka? Au jambazi huko lumumba mnamwita malaika mlinzi? Sishangai Kwa utetezi wako kwani nawe ni mmoja wao mnaojificha huko ccm! Siku zako zahesabika na huenda zisitimie arobaini!
 
Hili ni fundisho,wenye mamlaka msiwe mnatumia madaraka vibaya kwa visingizio vya kutekeleza amri ya mamlaka ya uteuzi au aliye juu.

Awamu ya tano ikiendesha magenge ya kihalifu yakifadhiliwa na wanaoitwa wenye mamlaka imeumiza Sana watu,imagine waliopotea hawajulikani waliko.

Safi Sana mahakama hii iwe fundisho na Kwa wengine wenye kutumia mamlaka ndivyo sivyo.
 
Acha kuwachafua wanajeshi wetu mpuuzi wewe, wakinukishe kivip??

Kesi ya mbowe mwanzo tu ishaonyesha Kuna kasoro kibao ambazo zitamfanya aachiwe mapema Sana
 
Mnamfunga wanini? Huyo sabaya angeny'ongwa tu biaahara iishe pumbavu zake
 
Hivi mkewe/mchumba ana watoto? Pengine anaweza kumngoja akirudi na 40-50yrs
Kama hakufunga magoli sidhani kama huyo mke atamngoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…