monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,486
- 13,017
Le nationale kibamiazi,hahahahahahahaha you know!
we dada wewe, mungu anakuona
Mambo ya Afcon U 17 hayo!Katika account yake ya instagram amethibitisha kuwa ni mgonjwa kutokana na matumizi makali ya AC na kufanya kazi bila kupumzika you know
View attachment 1083250
Wazazi gani?!Hasara kwa wazazi wake.
Wazazi wa Le mutuz.Wazazi gani?!
Duuu!! Hii ni zaidi ya Rweyongeza. Mgonjwa kueleza anavyoumwa anapita Marekani kuzungukia Australia anakuja Europe. Too much.. alipotoka out kwenye Dinner at the five star hotel yupo private hospital anawasalimia mabilione rafiki zake. You knowKatika account yake ya instagram amethibitisha kuwa ni mgonjwa kutokana na matumizi makali ya AC na kufanya kazi bila kupumzika you know
View attachment 1083250
Tulijua tuu lazima upelekwe mahali na mwanaume mwenye pesa wewe mwenyewe 5 stars huwezi.Niliumwa then nikapata lemualikozz downtown na le boss kinje, alinilalika 5 star hotel kula batazz you know, ndio nikauchokoza le ugonjwaz now nipo hospital ya 5star downtown ila nimefanya siri kuitaja cz ya kuzuia mafurikoz ya watakaokuwa na shauku ya kuniona hasa mbebezz u know HAHAHAHAHAHAHAHA! nafwaaaaz walahi
- Lemutuz
Hahahahaahhahahahahahaha
Juzi hiyo tafuteni hela jamani acheni kelele mazafanzaz hahahahahaha, na mtoto mkali five star hotel ni makelelez yani full kimya hamna wauza mapanga huku wala wauza viatu yani full batazz hahahahhahaha
- Lemutuz
View attachment 1083296
MANGE kimambi, anasema taifa haliwezi kumpoteza shujaa anayemiliki kibamia cha taifa.Hahahahaahhahahahahahaha
Juzi hiyo tafuteni hela jamani acheni kelele mazafanzaz hahahahahaha, na mtoto mkali five star hotel ni makelelez yani full kimya hamna wauza mapanga huku wala wauza viatu yani full batazz hahahahhahaha
- Lemutuz
View attachment 1083296
Mwambie an unblock basi
Ni Mimi hapaHivi huyu jamaa baba yake nani?
Tutaweka wapi? Kwenye hivi vyumba viwili tulivyopanga?AC hadi laki sita mkuu brand new zamani ndio ilikua anasa saizi kila mtu anaweka
Yaani! Limbukeni tena, na tena, na tenaaa...Yaani huyu jamaa ni limbukeni. Halafu limbukeni tena.