Hapo sasa bado na mimi natafakari ila sijaelewa!Kaka mkubwa connection ya ugonjwa na dinner ya five star hotel ni nini?
Hapa ndipo wengi huumia, Wanajaribu kuishi maisha ya kuwafurahisha wengine. Na matokeo yake ni kukosa furaha na amani kwa kuwaza watasema nini au watanichukuliaje.mimi nampenda le mutuz. Anaishi maisha anayayoyaona kwake ni sahihi. Ingawa kwa wengine wanaona sio sawa. Ooh mzee ooh wewe sasa babu.
Ooh kumbe!Bit late jamani
Harry alikuwepo kwenye Marathon leo huku tukitegemea Meghan kupata katoto
Hicho kibamia hadi tutumie VAR kukiona. View attachment 1083560
You knowJana nilipotoka out for dinner at the five star hotel le mutuz bwana
Bado ila makadirio yalikuwa janaOoh kumbe!
So katoto kashazaliwa?
Jamaa anakula bata mandhari nzuri kuliko hata mandhari anayopata tiba...teh teh!!
Hapo sio kweli kituo cha afya madongo kuinama hapo!!!
kweli kabisa Mjomba ni mama, sasa anamuheshimu mama ila anampa makavu mjomba kweli heshima kwa mama ipo?Mange anashindwa nini kumheshimu mjomba wake, Mamaake mdogo Dr Mwele na Lemutuz ni ndugu kabisa, heshima kitu cha bure.
Mangi sio freshWatu Wa mitandaoni mnawezana wenyewe aisee. Huyu baba si ana watoto huyu? I can't imagine how they feel anavyofanyiwa japo kayataka mwenyewe... It's funny but not funny... Kumbe kibamia chake Ni hazina ya taifa View attachment 1083506
Je kwa mfano mtu akimwambia yeye Mange Kimambi anamiliki bwawa la Kuogelea jamii ingechukuliaje? Maana asianze ugomvi wa mawe wakati anaishi kwenye nyumba ya vioo!