fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,073
CCM iko desperate ndo maana unaona kila mtu anataka kkuchota fedha na kuondoka, muda wao wa madarakani umeisha kabisa, wamekopa pia umeisha kabisaaaa
Hakuna cha buku 7 wala 8 hapa kama zipo basi nyie ndiyo mnapewa na Mengi, Tambua kuwa Watanzania wa sasa si wale wa zamani ambao walikuwa wanaomwamini Mengi kwa kila Uzushi wake,Watu wameamka wanajua kuwa Mengi ni Fisadi si mtu Saafi na kaamua kukomaa na Muhongo kwa Ajili ya Tumbo lake binafsi na si kwa Ajili ya watanzania, ujue kuwa endapo Mengi angepata Vitalu vya Gesi leo hii usingemjua Muhongo wala escrow, sasa Tambua ni kwa kiasi gani Mengi ni Mnafiki na mbinafsi.
Muhongo ni jembe kwenye serikali ya KIKWETE, kwa hiyo kuelekea uchaguzi mkuu wapinzani wanatumia mbinu zote kudhoofisha wale wanaokipaisha chama cha Mapinduzi.
Mtanzania, Mwananchi, Nipashe hamuoni waliokula hela? Mbona Muhongo tu
WATANZANIA TUOGOPE MAGAZETI KAMA YA MTANZANIA, MWANANCHI NA NIPASHE AMBAYO KILA KUKICHA YEYEWE YANAMTAFUTA RAIS WETU MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE. LAZIMA TUJIULIZE KWA NINI HAWA HAWAMUHESHIMU RAISI WETU, MAANA KILA KUKICHA WAO WANANGANGANIA MUHONGO AONDOKE.
TUNAJUA HAWA WOTE WAMEPEWA FEDHA NA MENGI KWA AJILI YA KAZI HIYO TU. WANAACHA KUWATAARIFU WATANZANIA MAMBO YA MAENDELEA WAO WANAFUATILIA MASUALA AMBAYO HAYAJENGI KWA WATANZANIA.
ANGALIENI GAZETI HILI LA MTANZANIA 21,1,2015 LIMEANDIKA SIKU ZA MUHONGO ZIMEKWISHA, SASA WAO WANAMUONGELEA RAIS? KWA NINI WASIKAE KIMYA KUSUBIRI MAAMUZI YA RAIS? KAMA WATANZANIA WOTE WANAJUA HALIHALISI YA ESCROW AKAUNTI ILIVYOKUWA NA MKAKATI ULIVYOFANYWA NA WAFANYABISHARA NA WALE WALIONYIMWA VITALU.
MBONA WAO HAWAMZUNGUZII ZITO ALIYECHUKUA FEDHA ZA IPTL KUTOKA KWA SINGA SINGA? KILA SIKU WAO WANAZUNGUMZIA MTU MMOJA TU, MTU MWENYEWE TUKISOMA TAARIFA YA CAG HATUONI MAHALI AMBAPO ANAHUSIKA, NI KWA NINI HAWATAKI KUANDIKA UKWELI ULIOPO? wanafikiri WATANZANIA NI MBUMBUMBU HATUELEWi KINACHOENDELEA? MAGAZETI HAYA TUNAJUA WAMEPEWA FEDHA NYINGI WAANDIKE KICHWA CHA HABARI MUHONGO. JUZI PIA TULISIKIA LEMBELI NAE AKIZUNGUMZIA SUALA HILO HILO, WOTE TUNAJUA LEMBELI AMEPEWA FEDHA NA LAZARO NYALANDO KUMTANGAZA. TUJIULIZE LEMBELI NI MTUMISHI WA WIZARA YA MALIASILI? KWA NINI KILA SIKU ANASAFIRI NA NYALANDU? KAMA YEYE NAE NI MTUMISHI WA WIZARA HIYO?
AMEPEWA FEDHA KWA AJILI YA KUICHAFUA CCM TU. HAPA MAJUZI LEMMBELI KAHONGWA MILIONI 20 NA NYALANDU KUPOTEZA WATU WASIZUNGUMZIE MASUALA YAKE YA KIMADA, NA ALIPEWA MAELEKEZO KUHAKIKISHA ANAZUNGUMZIA SUALA LA ESCROW NA MUHONGO KWA KUWA AKIZUNGUMZA HILO MAGAZETI YATAACHA KUANDIKA HABARI ZAKE.
Una hasira kweli mpaka unaandika kwa herufi kubwa! Kwa hiyo kwa mujibu wako anayeandika sana habari za Muhongo anamtafuta Rais? LEMBELI kwa kusema Muhongo pia anachafua chama. Hivi LEMBELI ni wa chama gani? JUZI tu Tulisikia Katibu Mkuu wa Chama akizungumzia viongozi wanaokataa kuwajibika wanaofanya madudu kumchefua je unafikiria alikuwa akimsema nani? Au naye anakichafua chama? Na kushauri uwe na uvumilivu wa maoni ya watu wengine kama wanavyokuvumilia wewe.Mtanzania, Mwananchi, Nipashe hamuoni waliokula hela? Mbona Muhongo tu
WATANZANIA TUOGOPE MAGAZETI KAMA YA MTANZANIA, MWANANCHI NA NIPASHE AMBAYO KILA KUKICHA YEYEWE YANAMTAFUTA RAIS WETU MHE. JAKAYA MRISHO KIKWETE. LAZIMA TUJIULIZE KWA NINI HAWA HAWAMUHESHIMU RAISI WETU, MAANA KILA KUKICHA WAO WANANGANGANIA MUHONGO AONDOKE.
TUNAJUA HAWA WOTE WAMEPEWA FEDHA NA MENGI KWA AJILI YA KAZI HIYO TU. WANAACHA KUWATAARIFU WATANZANIA MAMBO YA MAENDELEA WAO WANAFUATILIA MASUALA AMBAYO HAYAJENGI KWA WATANZANIA.
ANGALIENI GAZETI HILI LA MTANZANIA 21,1,2015 LIMEANDIKA SIKU ZA MUHONGO ZIMEKWISHA, SASA WAO WANAMUONGELEA RAIS? KWA NINI WASIKAE KIMYA KUSUBIRI MAAMUZI YA RAIS? KAMA WATANZANIA WOTE WANAJUA HALIHALISI YA ESCROW AKAUNTI ILIVYOKUWA NA MKAKATI ULIVYOFANYWA NA WAFANYABISHARA NA WALE WALIONYIMWA VITALU.
MBONA WAO HAWAMZUNGUZII ZITO ALIYECHUKUA FEDHA ZA IPTL KUTOKA KWA SINGA SINGA? KILA SIKU WAO WANAZUNGUMZIA MTU MMOJA TU, MTU MWENYEWE TUKISOMA TAARIFA YA CAG HATUONI MAHALI AMBAPO ANAHUSIKA, NI KWA NINI HAWATAKI KUANDIKA UKWELI ULIOPO? wanafikiri WATANZANIA NI MBUMBUMBU HATUELEWi KINACHOENDELEA? MAGAZETI HAYA TUNAJUA WAMEPEWA FEDHA NYINGI WAANDIKE KICHWA CHA HABARI MUHONGO. JUZI PIA TULISIKIA LEMBELI NAE AKIZUNGUMZIA SUALA HILO HILO, WOTE TUNAJUA LEMBELI AMEPEWA FEDHA NA LAZARO NYALANDO KUMTANGAZA. TUJIULIZE LEMBELI NI MTUMISHI WA WIZARA YA MALIASILI? KWA NINI KILA SIKU ANASAFIRI NA NYALANDU? KAMA YEYE NAE NI MTUMISHI WA WIZARA HIYO?
AMEPEWA FEDHA KWA AJILI YA KUICHAFUA CCM TU. HAPA MAJUZI LEMMBELI KAHONGWA MILIONI 20 NA NYALANDU KUPOTEZA WATU WASIZUNGUMZIE MASUALA YAKE YA KIMADA, NA ALIPEWA MAELEKEZO KUHAKIKISHA ANAZUNGUMZIA SUALA LA ESCROW NA MUHONGO KWA KUWA AKIZUNGUMZA HILO MAGAZETI YATAACHA KUANDIKA HABARI ZAKE.
usiwe mgumu wa kuelewa. kuchapa kazi kwa muhongo sio tatizo ila uchapa kazi una negative effects kwa CCM. sasa kama unaona hiyo effect ya ufisadi wa muhongo haina madhara kwa CCM, mwache aendelee kuchapa kazi.
Wakuu
Tumeshuhudia na kuona watu waliopokea mabilioni mimi binafsi sikuona wala kusikia mgao ulipokelewa na Muhongo.
Je kuna mtu hapa jamvini anayeweza kutujuza kwa facts na siyo siasa.
CCM haiwezi kuangamia kwa Masilahi Binafsi ya Mengi, Watu wengi wanajua kuwa Chuki ya Mengi juu ya Muhongo ndiyo imefanya huu Uzushi kuenea kila kona, Mengi katumia Mabilioni kuwapa wabunge, waandishi, walambi, Waganga wa kienyeji, Viongozi wa Dini nk, ili wamchafue Muhongo baada ya kumnyima Vitalu vya Gesi na kumnyang'anya Migodi ambayo alikuwa akimiliki kienyeji enyeji pasipo kuiendeleza huku akiwa anawanyanyasa wenyeji walio zunguka maeneo yake, CCM wa kumulikwa ni Mengi kwani ndiye Mfadhili wa kuchafua chama.
Jk ndio hana uwezo, tezi dume nalo limemuharibia kabisaaaaaa, anachoweza ni kuchekacheka tu.
Lembeli anamalizwa na maige anaepita kwa wapiga kura kuwaambia alichongewa na lembeli eti kaiba twiga, Maige anawauliza wananchi kuwa mnamfahamu twiga wanasema "ndio", unaweza kumswaga "hapana" sasa atamwibaje? wananchi wanaitikia hizo ni fitina.
hiyo ni mipango ya wizara,hata kama ungewekwa wewe badala muhongo lazima mambo yange enda kama unavyo ona,labda mn'ge tofautiana wizi tu.
mimi namshauri yeye lembeli pamoja na nyarandu wajiuzuri wao ndio wana kashfa kubwa ya maliasili kinachojificha kuwahonga wapiga kelele mfano mchungaji msigwa
usitoke nje ya mada. hapa unajadiliwa ufisadi wa muhongo sio nyalandu wala mwizi mwingine.
Huyo Lembeli haoni na yeye namna anavyoangamiza wanyama wetu na maliasili zetu na Waziri wake? Nyani haoni kundule eh !