Lembeli: Muhongo anaiangamiza CCM


hiyo ni mipango ya wizara,hata kama ungewekwa wewe badala muhongo lazima mambo yange enda kama unavyo ona,labda mn'ge tofautiana wizi tu.
 

kumbe lembeli ni upinzani...!!bhaasi sawa tuna shukuru kwa taarifa,vivaa ukawa..!!ccm mwaka huu mtauna mfupi.!
 
Ni tusi kubwa sana mtu kudhani mimi ni ccm!

namjua kijana mmoja kutoka ukoo mmoja na mbuge lembele a.k.a mwana maria yuko mwanza pale ni chadema damu na msomi,na subiri atangaze nia ya kugombea ubunge jimbo la kahama uone mziki utakavyo chezwa hapo,nashanga sana hawa ccm wanajifanya kumbeza lembeli wakati ndio mbuge wa ccm asie na kashifa za ajabu ajabu kama hao wakina muhongo,tiba,iddy azani,maige etc.ccm usipo kuwa mwizi upati rafiki kweli.
 
Mkuu tpaul Kumbe umeandika mambo ya ccm? Hayo hayanihusu Ngoja niondoke
 
Last edited by a moderator:

kwa swala la Muhongo kufutwa kazi tupo pamoja ila Lembeli simuamini tena kwa kuwa wakati wa BMK alitetea sana serikali Tatu ilipokuja kupiga kura kageuka!! Haaminiki
 
Last edited by a moderator:
Jk lazima afukuze Prof.Muhongo kabla ya tarehe 27.01.2015 asipofanya hivyo nitatembea dar-moro uchi

Utaliwa kiboga bure na muhongo haendi popote. Tarehe 28.1.2015 anaenda marekani kutuwakilisha kwenye mambo ya madini kwa wiki moja.

Wewe tembea uchi tu uliwe tigo.
 
CCM ilikwisha kufa mioyoni mwa watu tayari haihitaji akili kutambua kuwa kama Kikwete angekuwa na mawaziri wote wanaofanana kama Muhongo CCM isingekuwa inanuka kama ilivyo Sasa. Angalao wapo Muhongo, Mwakyembe na Magufuli wanaoifanya serikali ionekane kwa kiwango fulani kuwa ipo. Watanzania tujenge tabia ya kuwapenda viongozi wachapakazi kuliko kushabikia viongozi wapiga majungu.
 

hii ni dalili ya kuishiwa hoja. lembeli kukemea UFISADI na wizi unaofanywa na majizi wa CCM kunahusianaje na ujangili. kama una hakika lembeli ni jangili si umfungulie kesi mahakamani?
 

subiri february lema, sugu na nassari waende wakamtoe muwongo bungeni kwa nguvu ikiwa jk atakuwa hajamuondoa huyu mwizi mwenzake.
 
Lembeli kaisha hana jipya atafute pakutokea mwaka huu hachaguliki tena ndiyo maana anahaha kama anataka kutaga mpeni pole sana siasa siyo mafungu saba.

nimeamin vijana wa ccm ni personal robot hivyo hampo kwa ajili ya kusaidia chama zaid mnatumika kama vipeperush vya watu kwa kuhongwa hela ya madafu mtetee hata upuz!!mwanzon nilijua vijana kada wa chama kumbe vikada wawatu!!!looh! you are all neither realistic nor objective!!!namshaur kinana asitishe upepeushi wenu humu ndan koz hamsaidii chama,mpo kutetea na kujenga wtu na sio chama!!hv bado hamjaona athar za mhongo!!utopians!!!
 
hiyo ni mipango ya wizara,hata kama ungewekwa wewe badala muhongo lazima mambo yange enda kama unavyo ona,labda mn'ge tofautiana wizi tu.

kila liCCM ni jizi ila hii mijizi inatofautiana tu viwango vya WIZI!
 
Last edited by a moderator:
Ccm imeshajifia tuache kumsingizia muhongo

CCM inauliwa na JK anaposhindwa kuwawajibisha wezi au pale anaposhirikiana na wezi kufanya uhalifu...kwa mfano alishirikiana na wezi wa EPA kuchota pesa BoT...walipoiba wakamletea pesa na akawaachia warudi zao mtaani waendelee na wizi wao. CCM ni janga tunalopaswa kuepukana nalo mwezi Oktoba.
 
lembeli anasumbuliwa na frustrations, miaka yote ya ubunge hata nyumbani kwake hajafanya kitu achilia mbali kwa wananchi wake. Anatumiwa na Wapinzani ili kudhoofisha majembe ya JK ili CCM ionekane haijafanya kitu

Hujui kama amehamia Arusha, ndio nyumbani kwake chini ya himaya ya bi. mdogo, amefanya makubwa sana kwake, na ccm kwa nyumba ndogo! halafu mbaya mnatelekeza nyumba kubwa, jamaa yuko njema sana.
 
Huyu Lembeli mbona yuko kimya sana kwa Nyalandu ambaye mambo yanaenda ndivyo sivyo pale maliasili na utalii lakini huku kwingine kakomaa kinoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…