siku za hivi karibuni nilikwambia, mevamia siasa, huijui sema unaendeshwa na ashki majinuni, st back n reax uangalie mambo yanavyokwendaMwacheni Muhongo achape kazi.Lembeni akapumzike tangu amekuwa Mbunge amewafanyia nini watu wa Kahama?
huyu regemalira alipelekwa mahakamani nchi itatisika ndo mwenye nchi Jk ni makamu wake.jk na rugemalira pia hawajakutana barabarani. ndio maana wapokea rushwa wanafikishwa mahakamani wakati mtoa rushwa (ruge) anadunda mtaani. maCCM ni viumbe wa ajabu sana.
team muhongo kaziniMwacheni Muhongo achape kazi.Lembeni akapumzike tangu amekuwa Mbunge amewafanyia nini watu wa Kahama?
Ukiona mtu anamsifia mtu mchafu kama Prof .muhongo ujue yeye ni mchafu zaidiLembeli kaisha hana jipya atafute pakutokea mwaka huu hachaguliki tena ndiyo maana anahaha kama anataka kutaga mpeni pole sana siasa siyo mafungu saba.
huyu regemalira alipelekwa mahakamani nchi itatisika ndo mwenye nchi Jk ni makamu wake.
JK ni jembe maneno yote haya ni ya kumgwaya tu na si vinginevyo, mtamkumbuka sana baba wa demokrasia afrika nzima, enzi za Mkapa mlikuwa hambwabwaji hivi
Mwacheni Muhongo achape kazi.Lembeni akapumzike tangu amekuwa Mbunge amewafanyia nini watu wa Kahama?
Tatizo ni kuwa unapotakiwa umwajibishe mtu anayejua siri zako nyingi au mliyefanya naye "uchawi" ni ngumu sana. Muhongo kama anajua mengi katika mikataba ya Gas halafu ashughulikiwe kwa aibu kama Tibaijuka mbona patachimbika!Ni wazi Muhongo na JK hawakukutana barabarani........ Mbona wanapendana hivi,Yani JK yupo radhi CCM ife lkn sio kumtoa Muhongo............mahaba ya dhati.
Huyo lembeli hajafanya lolote kahama. Kwa mfano kijijini kwake kahama-bulungwa barabara ni haieleweki kama ni barabara au chochoro kutokana na masika zimekatika. Kituo cha afya hapa kijijini kwake wodi moja ni changanyikeni wanawake, wanaume, watoto jinsia zote ni wodi moja. Yaani utazani mbunge lembeli hatokei hapa. Umeme pia haupo ni solar tu. Kama kijiji unachotoka hujafanya lolote miaka yote hiyo hata ukipewa miaka 20 kuiongoza kahama huwezi fanya lolote la maana
Mwacheni Muhongo achape kazi.Lembeni akapumzike tangu amekuwa Mbunge amewafanyia nini watu wa Kahama?
Jamani Muhongo ni jembe mwacheni aendelee kwani kosa lake ni dogo kuliko mabadiliko aliyoleta katika srkta ya nishati. Mimi binafsi nimefaidika kwa kushushiwa bei ya kuunganishiwa Umeme kutoka tzs 2.2m mpaka 700,000! Mnyonge mnyongeni lkn haki yake mpeni. Na nyie Ukawa wenzangu tumieni haki tumbili wetu Werema tumemtundika na mahakama inamsubiri kwa kutumia vibaya madaraka kwa hiyo Muhongo mnamwonea kwani ni mchapa kazi na msemakweli. Namwomba Kafulila amsamehe.imewabakia nyie mnaomuonea wivu Muhongo, na hang'oki ng'o tunauhitaji umeme wake
Kada maarufu wa CCM ambaye pia ni mbunge wa Kahama na mwenyekiti wa kamati ya Maliasili na utalii, Dr James Lembeli ametahadharisha kwamba kitendo cha Prof Muhongo kutowajibishwa au yeye mwenyewe kutoachia madaraka kwa hiyari, kitaiua CCM kabla hata uchaguzi wa mwaka huu haujatangazwa.
Kada huyo amemtaka rais kikwete kumfuta kazi muhongo ili kuinusuru CCM na chuki dhidi ya wananchi na hatimaye kufa kabisa baada ya kushindwa vibaya kwenye uchaguzi wa oktoba, 2015. Ametolea mfano wa Mwinyi na Lowasa waliowahi kuachia ngazi na hivyo kumshauri mhongo afuate mkondo huo endapo JK atagoma kumfuta kazi.
Chanzo: Nipashe
:israel: