Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Ukawa hatariiiiiiiiiiii, Lowassa akitua tu UKAWA, CCM inakufa siku hiyo hiyooo

.......... Lowasa alishindwa jimbo la Arumeru kumpa Mkwewe, leo aje aishinde CCM nchi nzima pamoja na 'system' ! :iamwithstupid:

Mavi ya kukuuuu ! :doh: Jay One
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kwamba upo kazini, lakini hii sasa ni too much. Yaani day & night ni wewe na Lowasa tu, amekukosea nini huyu mzee? Come on guy! Achana na hizo mambo ccm ina wenyewe hiyo. Magufuli alipitishwa na watu wangapi Dodoma? Is it too hard for you to comprehend?

Anaelewa sasa
 
Wee akili yako imepitwa na wakati, ur outdated, ....Lowassa ndio kila kitu sasa hv, anapendwa kama Yesu, usilete utani kaa mbali, utaumia..

........... hampiti Mrema Augustino kwa kupendwa alipotoka na single yake ya Chavda ! ....... leo hata uubunge anaombea CCM ! :doh:
 
Kweli maccm mnanichekesha
Mafisadi sio nyie mlio ficha hela zetu Swiss?
Sio nyie mliotuacha sisi wananchi tunapata mlo mmoja kwa siku?
Maisha yako juu mshahara kidunchu

Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM
 
Kama Yesu wa Nazareth.... yaani wee acha tu...UKAWA kupitia Lowassa wataiua CCM kwa kuinyonga kabisa...mmmhh...Lowassa this is a very genius human being....mmmhhh

..... Yesu huyu huyu ! 😛ray2:....... au yule wa Manchester City !? Jay One
 
Last edited by a moderator:
kigogo ambae wangempata kidogo akasumbua ni warioba,lakini lowasa wala hata hasumbui

Umeandika comment ya ukabila wana jf wamekupuuza..umekuja na Walioba..ha ha ha
sasa chagua kati ya slaa lowasa na magufuli nani akunyweshe DIVAI.. mwaka huu hakuna namna ni mwendo wa divai ikulu
 
........... hampiti Mrema Augustino kwa kupendwa alipotoka na single yake ya Chavda ! ....... leo hata uubunge anaombea CCM ! :doh:

.
Lowasa ndio habari ya mjini kwa sasa.
ciciem bakini na magufuli yenu Chadema tunazo funguo, muone kama geti halitabaki wazi 25 oktoba.
.
 
anayesema kaiba aeleze kaiba wap na nini na siku gan?
 
Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM

Mkuu nina maswali mawili tu ya kukuuliza. Ni hiari kuyajibu.
1. Kwa mfumo wa ccm ulivyo, kila mtu ni fisadi namna yake. Mbona umemkomalia sana Lowasa wakati ccm wote ni wezi?
2. Je , una ugomvi binafsi na Lowassa? I mean labda alitembea na mke wako etc. Maana hizi chuki si bure.

Majibu tafadhal.
 
Mkuu nina maswali mawili tu ya kukuuliza. Ni hiari kuyajibu.
1. Kwa mfumo wa ccm ulivyo, kila mtu ni fisadi namna yake. Mbona umemkomalia sana Lowasa wakati ccm wote ni wezi?
2. Je , una ugomvi binafsi na Lowassa? I mean labda alitembea na mke wako etc. Maana hizi chuki si bure.

Majibu tafadhal.

Safi sana kumtwanga hayo maswali huyo chinga
 
.......... Lowasa alishindwa jimbo la Arumeru kumpa Mkwewe, leo aje aishinde CCM nchi nzima pamoja na 'system' ! :iamwithstupid:

Mavi ya kukuuuu ! :doh: Jay One

Utatukana sana mwaka huu hadi matusi yataisha mdomoni lkn mwaka huu lazima mkalishwe,hii ni kahama
 

Attachments

  • 1437848307580.jpg
    1437848307580.jpg
    34.5 KB · Views: 148
Last edited by a moderator:
Iweje tumpokee Esta na Lembeli halafu tumlatae Lowasa? Tutakuwa upinzani wa ajabucsana usiojua kutumia opportunity!

Ki ukweli Easther na Lembeli tangu wakiwa CCM wamejipambanua kuwa ni wapiganaji pamoja na Zambi na yule wa Ludewa (Filikunjombe) na siku zote tunajua hawa CCM sio kwao.

Naamini Lowassa sio material ya CDM ila ngoja tuone
 
Umeandika comment ya ukabila wana jf wamekupuuza..umekuja na Walioba..ha ha ha
sasa chagua kati ya slaa lowasa na magufuli nani akunyweshe DIVAI.. mwaka huu hakuna namna ni mwendo wa divai ikulu

Watumwa wa Lumumba wanateseka sana,hadi wanatia huruma
 
Back
Top Bottom