Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Lizabon ... Sipati picha unajinsia gani.. wanaume hawako ivo... Mengine yakupite mkuu
chadema sio tena ile ya walalahoi, imeshanunuliwa na fisadi.
Lizabon ... Sipati picha unajinsia gani.. wanaume hawako ivo... Mengine yakupite mkuu
Unaesema fisadi alifisadi nini mbona hamkumpeleka mahakani
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.
Chanzo:Mtanzania
CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.
Siasa za chadema ni za kitapeli na ulaghai! Leo hii fisadi papa kawahonga viongozi wa chadema bil 10 na ghafla fisadi mmembadili jina na kumuita Simba wa Yuda!!! lahaulaa! ama kweli fedha fedheha. Slaa atabaki kumrembulia macho tu Lowasa na kuanzia sasa siwaamini chadema kwa ishu yoyote matapeli wakubwa. Watu walijeruhiwa maandamanoni, wengine wamepoteza viungo kuijenga chadema eti wakiamini ndio mkombozi wao katika kupambana na ufisadi kumbe ilikuwa ni gia ya kusaka ulaji mnono toka kwa hao hao mafisadi! mmewakatisha tamaa watanzania wenye uchungu na nchi yao. Natangaza rasmi kuwa CHADEMA ni chama cha mafisadi.
mnamsema mtu fisadi kwakuambiwa hamjui hata maana ya richmond wala escrow ninini sasa mmebaki kuropokatu oofisadi oofisadi kisa eti mmesikia mnajua kilicho tokea? je hamjui kunasirinzito lowasa anayo na ataiweka hadharan mda mref acheni ubwete ileni siasa msihukumu kwakusikia
Waondoke tu hao mafisadi. Hawana chao CCM
Mkuu naona unacheza ngoma husiyo ijua
muulize swali hilo Slaa alipomchambua pale Mwembeyanga.
Kama katuhonga hajatuhonga hilo mnalijua wenyewe sisi tunachotaka ni kuwalaza CCM chali.
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.
Mkutano huo utafanyika wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa hiyo.
Chanzo:Mtanzania
CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.
Hao mnao wapokea toka Ccm wasipewe madaraka hadi wakitumikie chama na tuone uadilifu wao ndipi wapewe nafasi. Wasije kutufanya kama Shibuda na Leticia.
Nikusahihishe mim si mkuu, pili jitahidi kujifunza uandishi sahihi, neno hili linakuumbua "husiyo" hiyo "h" haikutakiwa kuwepo na badala yake hilo neno lingesomeka hivi "usiyoijua" kosa lako lapili nikulitenganisha neno moja nakuoneka kama mawili na kumbe ni neno moja. "Husiyo ijua" badala yake ungeandika hivi, "usiyoijua" Jipange uje upya.
muulize swali hilo Slaa alipomchambua pale Mwembeyanga.
Toa ushahidi wa ufisadi wa Lowasa.
Kama ni hivyo ngoja nikajiandikishe ili niweze kumpigia kura.manake alivyokatwa nilikasirika hata kujiandikisha sijaenda.hata kama kaenda Chadema sijui mm sijali nitamchagua tunachagua mtu sio chama bana
Kwa hiyo unataka Lowassa abaki CCM mbona hamueleweki?chadema sio tena ile ya walalahoi, imeshanunuliwa na fisadi.