Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Lema: Tutapokea kigogo wa CCM

Hv hata sielewi kwa matukio yoote yale leo mnampokea na kumuona shujaa, ngachoka miye, akiwa ccm fisadi akikatwa huko ooohh kigogo atapokelewa, Aaahh .
 
Sipati picha kigogo mwenyewe awe Jakaya Kikwete!
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.

Chanzo:Mtanzania

CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.
 
Siasa za chadema ni za kitapeli na ulaghai! Leo hii fisadi papa kawahonga viongozi wa chadema bil 10 na ghafla fisadi mmembadili jina na kumuita Simba wa Yuda!!! lahaulaa! ama kweli fedha fedheha. Slaa atabaki kumrembulia macho tu Lowasa na kuanzia sasa siwaamini chadema kwa ishu yoyote matapeli wakubwa. Watu walijeruhiwa maandamanoni, wengine wamepoteza viungo kuijenga chadema eti wakiamini ndio mkombozi wao katika kupambana na ufisadi kumbe ilikuwa ni gia ya kusaka ulaji mnono toka kwa hao hao mafisadi! mmewakatisha tamaa watanzania wenye uchungu na nchi yao. Natangaza rasmi kuwa CHADEMA ni chama cha mafisadi.

Kama katuhonga hajatuhonga hilo mnalijua wenyewe sisi tunachotaka ni kuwalaza CCM chali.
 
mnamsema mtu fisadi kwakuambiwa hamjui hata maana ya richmond wala escrow ninini sasa mmebaki kuropokatu oofisadi oofisadi kisa eti mmesikia mnajua kilicho tokea? je hamjui kunasirinzito lowasa anayo na ataiweka hadharan mda mref acheni ubwete ileni siasa msihukumu kwakusikia

Muulize Slaa.
 
Mkuu naona unacheza ngoma husiyo ijua

Nikusahihishe mim si mkuu, pili jitahidi kujifunza uandishi sahihi, neno hili linakuumbua "husiyo" hiyo "h" haikutakiwa kuwepo na badala yake hilo neno lingesomeka hivi "usiyoijua" kosa lako lapili nikulitenganisha neno moja nakuoneka kama mawili na kumbe ni neno moja. "Husiyo ijua" badala yake ungeandika hivi, "usiyoijua" Jipange uje upya.
 
Mbunge wa Arusha Mjini,Godblees Lema, amesema watapokea "kigogo mkubwa" kutoka CCM pamoja na wenyeviti wa mikoa na wilaya katika mkutano utakaofanyika Dar-es-salaam.

Mkutano huo utafanyika wiki ijayo kwa mujibu wa taarifa hiyo.

Chanzo:Mtanzania

CCM mwaka huu lazima mtafute mchawi wakati mchawi/wachawi mlicheza nao mziki pale ukumbini.

Hao mnao wapokea toka Ccm wasipewe madaraka hadi wakitumikie chama na tuone uadilifu wao ndipi wapewe nafasi. Wasije kutufanya kama Shibuda na Leticia.
 
Hao mnao wapokea toka Ccm wasipewe madaraka hadi wakitumikie chama na tuone uadilifu wao ndipi wapewe nafasi. Wasije kutufanya kama Shibuda na Leticia.

Nani atakubaliana na wazo lako hilo wakati mwenyekiti kaishasema!
 
Nikusahihishe mim si mkuu, pili jitahidi kujifunza uandishi sahihi, neno hili linakuumbua "husiyo" hiyo "h" haikutakiwa kuwepo na badala yake hilo neno lingesomeka hivi "usiyoijua" kosa lako lapili nikulitenganisha neno moja nakuoneka kama mawili na kumbe ni neno moja. "Husiyo ijua" badala yake ungeandika hivi, "usiyoijua" Jipange uje upya.

Endelea kucheza ngoma usiku wa giza,mwishowe utajikuta unacheza ngoma ya vibwengo na mwisho wa mchezo unazolewa
 
Lowass awe macho na uhai wake wanaweza kummaliza kabla hajatimiza azima yake.
 
sisiwengine ni wanafkitu tunataka kujua ninini kitatokea hiyokesho lkn kiukweli hatavyama hatuna
 
Kama ni hivyo ngoja nikajiandikishe ili niweze kumpigia kura.manake alivyokatwa nilikasirika hata kujiandikisha sijaenda.hata kama kaenda Chadema sijui mm sijali nitamchagua tunachagua mtu sio chama bana

Tuko wengi fanya mambo mapema tulichague jembe
 
chadema sio tena ile ya walalahoi, imeshanunuliwa na fisadi.
Kwa hiyo unataka Lowassa abaki CCM mbona hamueleweki?

Wakati mwingine huwa nakubaliana na wanaosema Lowassa alibebeshwa Richmond kuiokoa serikali ya Kikwete, wamebaki kuimba ni fisadi lakini hawataki aende Chadema.
 
Back
Top Bottom