Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hata mungu alivyotaka kumuangamiza farau..alitumia mtoto ambaye alimlea mwenyewe....ccm lazima wangoke kwa gharama yyte ile....
Itakuwa ni mwaka wa neema sana kwa watanzania
Hata mungu alivyotaka kumuangamiza farau..alitumia mtoto ambaye alimlea mwenyewe....ccm lazima wangoke kwa gharama yyte ile....
Hatimaye chdema nayo yaelekea kufa vuongozi wa chadema kama wamejaliwa maono japo kidogo tu waone athari za kumpokea lowasa chadema ninadhani waweza kuwa kuwa mwisho wake mwema.y
Sasa hizi kelele mnazofanya ni za nini, mwacheni Lowassa afanye siasa anazotaka mwenyewe vile vile waacheni Chadema wakaribishe mtu wanayemtaka.
Kama CCM wanataka kufunga goli la mkono Chadema nao wanagoli lao la mkono ambalo linaweza lisiwapendeze wengi wakiwemo baadhi ya wana Chadema, lakini goli ni goli tu watakuja kutuelewa baadaye.
huo sasa ndio ukabila dhahiri shahiri! yani we kwako iwe isiwe lazima rais atoke kaskazini sio!?
Kwel bhana CCM waftin to haooo
Hizo video hazitasaidia kitu watu hukosa na hutubu.
Chadema nao wanaweza kuleta ushahidi wa video ukionyesha Kikwete akimnadi Lowassa akisema Lowassa ni safi tena kamshika mkono juu.
Aliyezoea kula viporo kila kiporo ni mlo toshaSizitaki mbichi hizi,mwaka wa shida kweli kwa ccm
Aliyezoea kula viporo kila kiporo ni mlo tosha
Teh Teh wana jisumbua bure na Lowasa ndiyo atakuwa kaburi lao....wamchukue tupunguze kelele....
Nawashangaa sana wana CCM kwa wanavyosikia Lowasa anahamia Chadema ndio wanasema ni Fisadi mbona kabla hajakatwa jina lake walikuwa wanamtetea sana humu Jf Lowasa anawaumiza sana vichwa CCm
Siasa za chadema ni za kitapeli na ulaghai! Leo hii fisadi papa kawahonga viongozi wa chadema bil 10 na ghafla fisadi mmembadili jina na kumuita Simba wa Yuda!!! lahaulaa! ama kweli fedha fedheha. Slaa atabaki kumrembulia macho tu Lowasa na kuanzia sasa siwaamini chadema kwa ishu yoyote matapeli wakubwa. Watu walijeruhiwa maandamanoni, wengine wamepoteza viungo kuijenga chadema eti wakiamini ndio mkombozi wao katika kupambana na ufisadi kumbe ilikuwa ni gia ya kusaka ulaji mnono toka kwa hao hao mafisadi! mmewakatisha tamaa watanzania wenye uchungu na nchi yao. Natangaza rasmi kuwa CHADEMA ni chama cha mafisadi.
Kwa mara ya kwanza tutashuhudia upinzani mkali maana Lowasa ni habari nyingine
Kwa mara ya kwanza tutashuhudia upinzani mkali maana Lowasa ni habari nyingine