shayookoko
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 467
- 277
Huyu lema ni shida, hana LA maana analowatendea wana arusha zaidi yakuwachochea kushiriki maandano na migomo isiyo na tija, ni MTU wa sifa za kijingajinga sana, hata huko bungeni huwa sioni LA maana analoongea. Wana arusha msikubali water kufanywa wanywa viroba, next time mbadilishe mwakilishi, sio lema, kidumu Chadema.