Lema maji ya shingo Arusha

Lema maji ya shingo Arusha

Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.

Inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.

Sasa unaweza edit uzi wako maana nasikia he's been declared the champion
 
Back
Top Bottom