Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.
inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.
Waendesha boda boda wamamuimjoyHata asipopiga kampeni atashinda,,,,,Lowasa ndtio habari ya Mwanza sasa hivi
Mwisho wa mwezi kuna tukio jingine
...wewe huwezi juwa kaa kimya!
Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.
inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.
Arusha mjini kwa ccm hata angegombea magufuli halafu cdm wamsimamishe kingwendu ccm watapigwa tu......
Hata mimi kwenye kampeni za Lowassa nilikuwa naenda. Of course sio kusikiliza pumba zake...bali kutazama namna anavyo tetemeka na anavyo jinyea. Nilitaka nijionee kwa macho. Na Jumapili sikufanya makosa....nilimkata!
Arusha wanataka connection za biashara sio vurugu za maandamano
Halafu wakipigwa chini akapewa Kingwendu analeta impact gani kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja,anachagiza nini ktk maendeleo ya wananchi kuhusu biashara zao za Kitalii hasa ikizingatiwa Arusha ilipo kwa Jiografia yake,hujiulizi mara mbili mbili miaka yoote Jiji liko kwenye mihemko,vurugu,maandamano na karaha zote,mbona maandamano hayo hayaendi kufanyika Hai au Moshi Mjini,Singida Mashariki?Kukiwa na vurugu nani atakubali kuacha biashara yake wazi kama si kuifunga kwa kuogopa Vibaka na hasara ya uharibifu wa mali?biashara yenyewe Mtaji umekopwa toka FINCA,PRIDE,BAY PORT nk,Akili za kuambiwa changanya na zako baba!