Lema maji ya shingo Arusha

Lema maji ya shingo Arusha

Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.

Inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.

Shame on you! GJ Lema ni mbunge mteule; Gambaz mkajinyonge!
 
attachment.php
 

Attachments

  • lm.jpg
    lm.jpg
    24.6 KB · Views: 411
Lema lema lema....chamecha meku oko...nakicha otana mbeee..
 
Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.

Inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.

Jingalao, mmeo lema kashinda
 
Kinachonifurahisha Arusha wanajitambua!!.
Hongera Lema kwa ushindi!!!!!
 
Arusha ni arusha tuu!!!hakuna namna!!hatutaweza badilishwa kwa lolote lile
 
Back
Top Bottom