Lema maji ya shingo Arusha

Lema maji ya shingo Arusha

Hizi smartphone taabu sana badala uandike ashinde wewe unaandika ashindwe.Pole kwa hilo hata baba zako ccm wanajua lema ndo mbunge wa arusha
 
Ukitukanwa ohh bavicha kwa matusi wivu wa kisichana huo
 
Tuungane kwa pamoja kuombea Lema ashindwe ubunge Arusha.

uungane na nani wewe kilaza? hilo unalo omba ni sawa na kukesha ukiomba kuku wageuke kuwa samaki!! Arusha ukawa wameshinda viti vya ubunge 24 kati ya 25 halafu utegemee washindwe ubunge!!
 
Tuungane kwa pamoja kuombea Lema ashindwe ubunge Arusha.

Ulipolihusisha jina la Yesu na kumwombea Lema ashindwe ubunge nilifikiri ni issue serious LAKINI niliposoma signature yako nikajua tu hawa ni walewale na ile ile. Hakuna lolote Wana Arusha tunamwombea kila la heri kamanda Lema.
 
Hata mimi kwenye kampeni za Lowassa nilikuwa naenda. Of course sio kusikiliza pumba zake...bali kutazama namna anavyo tetemeka na anavyo jinyea. Nilitaka nijionee kwa macho. Na Jumapili sikufanya makosa....nilimkata!

hujafa hujaumbika... haya mambo ya kuugua yaweza kukupata hata wewe mkuu.
 
uungane na nani wewe kilaza? hilo unalo omba ni sawa na kukesha ukiomba kuku wageuke kuwa samaki!! Arusha ukawa wameshinda viti vya ubunge 24 kati ya 25 halafu utegemee washindwe ubunge!!

Kumbe mna wabunge 24 kwa Arusha tu! Kweli ukawa ni kiboko. Hongereni kwa ushindi huo wa viti 24 kati ya 25 vya ubunge jijini Arusha
 
Jingalao ningekuwa na uwezo ningemnyongea mbali, ana akili za mbuzi
 
Back
Top Bottom