Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Unakumbuka BABU alisema kuwa akiingia madarakani atatengeneza katiba ndani ya siku 100, halafu atauza cement mfuko wa kg 50 shs 5000, pia akasema kuwa wenye nyumba za nyasi wote atawapatia bati! Mzee mwongo yule!
Halafu ukimuangalia usoni ni mkavuuu, hana hata tone la aibu! Kibaya zaidi, haangalii hata umri wake! Anakuwa muongo ka babu wa kikombe mzee wa Samunge!
yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! Sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. Wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.