Yaani leo alikuwa anapiga makelele kama mnywa gongo! sijui alilelewa mazingira gani ya kukosa heshima kwa watu waliomzidi umri. wanaomjua vizuri utotoni fungukeni.
Sawa lakini, Arusha Mjini wananchi wameshashtuka kuwa LEMA ni BOMU, hasa baada ya kuuza lile trekta kwa Mzee Kitasho, Na zile Ambulance Mbili kwa Atish wa ARUSHA ART ..
MSALANI, Mkuu we mwambie ukweli kwamba Lema harudi bungeni msimu ujao! Hata kama Arusha atakuja mpinzani lakini hawezi kuwa Lema, watu waliomchaguwa wamekuwa so disapointed kabisaa.
Sawa lakini, Arusha Mjini wananchi wameshashtuka kuwa LEMA ni BOMU, hasa baada ya kuuza lile trekta kwa Mzee Kitasho, Na zile Ambulance Mbili kwa Atish wa ARUSHA ART ..
MSALANI, Mkuu we mwambie ukweli kwamba Lema harudi bungeni msimu ujao! Hata kama Arusha atakuja mpinzani lakini hawezi kuwa Lema, watu waliomchaguwa wamekuwa so disapointed kabisaa.