Natokea kisongo saa hii kumuona Lema, nimemkuta akinyoa nywele na still ana furaha utadhani yupo uraiani. Miongoni mwa mambo aliyoyakuta ni idadi kubwa ya wafungwa waliopo ndani eti kwa sababu walishindwa kulipa faini kesi zao, faini hizi sio kubwa na pia zimepungua kwa sababu tayari wameshatumikia miaka kadhaa ndani.
Lema ameandija barua tayari na imeshapokelewa na mkuu wa gereza, mahesabu yanapigwa na kesho hesabu itafika ili walipiwe hizo faini na watoke.
Hizi ni faini Kama za laki 1, 2, elfu 50, laki tano, etc. Lakini wana Kama miaka Tisa, 5, 6, 11 etc.
Kuna mzee Ana miaka 85 kapewa kesi ya kubaka kafungwa miaka 30 na anasema hakuwahi kubaka, na kamwambia Lema Hana hata uwezo wa nguvu za kiume, Ila alisingizuwa kesi kwa sababu ya mgogoro wa ardhi.
Kuna kesi nyingi zenye utata lakini watu wamo gerezani. This week watatoka over 40 kwa msaada wa Lema.
Lema ameandija barua tayari na imeshapokelewa na mkuu wa gereza, mahesabu yanapigwa na kesho hesabu itafika ili walipiwe hizo faini na watoke.
Hizi ni faini Kama za laki 1, 2, elfu 50, laki tano, etc. Lakini wana Kama miaka Tisa, 5, 6, 11 etc.
Kuna mzee Ana miaka 85 kapewa kesi ya kubaka kafungwa miaka 30 na anasema hakuwahi kubaka, na kamwambia Lema Hana hata uwezo wa nguvu za kiume, Ila alisingizuwa kesi kwa sababu ya mgogoro wa ardhi.
Kuna kesi nyingi zenye utata lakini watu wamo gerezani. This week watatoka over 40 kwa msaada wa Lema.