Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,020
Kama ana uwezo, mkaribisheni humu ndani tuone na tupime uwezo wake. Mbona wenzake wanaojiamini wapo humu ndani?
Fungueni thread yenu ya kujadili hizi kelele za chura mnazopiga.
Aisee hii M4C inawanyima raha kiasi hichi nyie green guards??
Najua hamna namna kwa sababu mko utumwani.