Sema Chilo
JF-Expert Member
- Mar 24, 2012
- 324
- 24
Lema IQ yake ipo chini sana, elimu yake nayo mgogoro. Hana uwezo wa kujadili mambo na GT
Hivi huyo Idd Azan au Zungu unaona wana IQ kuliko ya kamanda wetu LEMA? Ngoja anakuja mtaona umati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lema IQ yake ipo chini sana, elimu yake nayo mgogoro. Hana uwezo wa kujadili mambo na GT
Na hawa nao ni magamba? au walikuwa mzigo kwa chama. Nape tupe majibukamanda Godbless Lema ameendelea kuibomoa CCM mkoa wa Arusha leo ilikuwa zamu ya Rabia Abdallah ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu wa mkoa UVCCM Arusha,mjumbe wa baraza la wilaya Arusha na katibu wa vijana ccm sombetini. mwingine alie timukia chadema ni Judith Mwami mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya kata sombetini...
Mkuu sijui nikuite mnafiki hukusikia Mwanza Geita, Sengerema, Mbeya....tofauti ni kwamba Arusha ni wengiMbona kila siku ni Arusha tu na isiwe leo Dar kesho Mtwara Keshokutwa Singida Mtondogoo ni Mara lakini kila kukicha ni Arusha Arusha mpaka tunachoka!
Tutaendela kuibomoa CCM Arusha mpaka atakapo baki Lowasa lakini kama nayeye atakuja kuungama viongozi wakilizika basi pengine nae atajunga na makamnda tatizo lako kubwa ni wivu wa kijinga unatamani unge hamia wewe wa kwanza.....Dar mipango inakamilika karibuni utaonaJuzi si ulisema Lema kuibomoa Dar es Salaam leo tena kuipomoa Arusha kila siku Arusha tu hakuna sehemu zingine?
kamanda Godbless Lema ameendelea kuibomoa CCM mkoa wa Arusha leo ilikuwa zamu ya Rabia Abdallah ambae ni mjumbe wa mkutano mkuu wa mkoa UVCCM Arusha,mjumbe wa baraza la wilaya Arusha na katibu wa vijana ccm sombetini. mwingine alie timukia chadema ni Judith Mwami mjumbe wa kamati ya utekelezaji ya kata sombetini...
kwani we unaitwa tume ya katiba??Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!
why?
Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu
hakuna ID ya nasary tunaoijua.
Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........
anyway just guessing .................
Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!
why?
Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu
hakuna ID ya nasary tunaoijua.
Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........
anyway just guessing .................
Mandingo like this
Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!
why?
Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu
hakuna ID ya nasary tunaoijua.
Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........
anyway just guessing .................
Wabunge wote wa chadema wasiojisajiri JF kwa majina yao nina mashaka nao!
why?
Mkuu William aka baharia, alipokutana na Nasary bungeni alimuhakikishia kuwa yeye ni active member JF, lakini cha ajabu
hakuna ID ya nasary tunaoijua.
Tabia hii imepelekea kuanzishwa post za kujisifia hasa za lema na nassary, Mimi natilia shaka huenda ni..........
anyway just guessing .................
Lema nenda Bukoba, Mtwara, Lindi, Kigoma, wewe kila siku Arusha tu.
hivi IQ ya kikwete na Lusinde yanani iko juu maana leo nilimsikiliza badala ya kuhutubia akaanza kufundisha kweli watanzania tulilamba galasha afadhali tungemchagua salima..
Anaiba tu wake za watu..