Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Askari wa mahakama wamsachi vizuri Ben Saanane anaweza akawa amebeba Kuber special.

mkuu tulia basi tufatile kesi, kuna part 6 ya yale mambo inakuja leo kuanzia sa 9 alasiri so wait kidogo utatupia vyakutosha muda huo, but for now tuko mahakamani, niombi tu
 
Jamani hiyo ni LIVE ya aina gani mbona hakuna update yoyote hata kutuambia kuwa kesi imeisha anza?
 
mkuu tulia basi tufatile kesi, kuna part 6 ya yale mambo inakuja leo kuanzia sa 9 alasiri so wait kidogo utatupia vyakutosha muda huo, but for now tuko mahakamani, niombi tu
Kama umeridhika na hali za usalama hapo mahakamani nime kucopy,Over!! vigezo na masharti vitazingatiwa.
 
Huyu Ben Saanane, inabidi abadilike kwa kweli, jamaa naye ni wale wale tu Masalia, jamaa ni mnafiki kupita kiasi kwamba kwa wasio mfahamu mnaweza kurubunika na unafiki wake kumbe naye ni wale wale tu.
 
Back
Top Bottom