Masterproud
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 441
- 118
Yaani kama ni mpira, humu kuna watu siku zote hawawezi kwenda na move kamwe. Thread ni ya kesi na watu wapo makini kufuatilia mwenendo wa kesi wengine wameng'ang'ana masalia masalia, uchawi..hivi nyinyi niaje? simfuate thread zinazohusu hayo mambo huko? acheni kuongeza pages unnecessarily.