Kamanda Ben Saanane naye ndo anaingia.....
Kamanda Ben Saanane naye ndo anaingia.....
There are currently 248 users browsing this thread. (175 members and 73 guests).
Kuanzia majuzi kwenye thread ya Mamuya hadi leo ufanisi wa kazi ofisini kwangu umeshuka kwa 25%!
Kwenye masuala ya familia umeshuka kwa 50%, maana silali, nikitaka kusinzia tu, nashituliwa na breaking nyuz ya Shonza!... huh!
Sijui kwa wengine.
all the best...vipi vijana wa PM 7 wapo?
Mkuu hali si nzuri kuna kitu nimeelezwa kutoka ndani ya moja ya ofisi nyeti,kuna watu wanaweza kuzimia hapo.i mean kwamba matarajio ya wengi yanaweza kuwa kinyume mkuu!!!!!!!!!!lakini tusubiri ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Sasa wakati tunasubiri update situnaendelea kuongea kaka au tukae kimya wakati tunatarajia furaha???wakuu acheni mambo yasiyoendana na hii kesi basi, tujadili update kila zinapokuja, tuwe wauungwana kidogo, ni ombi tu
Sasa wakati tunasubiri update situnaendelea kuongea kaka au tukae kimya wakati tunatarajia furaha???
Mungu ampe maisha marefu shujaa Ben Saanane