Mkuu tuko pamoja sana tunaomba utuhabarishe kila kitakachokuwa kinaendelea hapo kamanda.Leo mahakama imefurika mapema, hali ya hewa ni nzuri,
Updates:
Bado hukumu haijaanza kusikilizwa, nyuso za wakombozi zimejaa bashasha. Hii ni dalili nzuri kwa kupokea matokeo!
Mkuu hali si nzuri kuna kitu nimeelezwa kutoka ndani ya moja ya ofisi nyeti,kuna watu wanaweza kuzimia hapo.i mean kwamba matarajio ya wengi yanaweza kuwa kinyume mkuu!!!!!!!!!!lakini tusubiri ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Magari ya washawasha na defender lukuki za polisi zimetinga....hofu imetanda ghafla nje na ndani ya mahakama.Vijana msilale...lale2x2. Mbowe,Nassari na Lema ndo wametinga wakati huu!
PowerrrrrrrrrrrViongozi wote wachadema ndio wanaingia, watu pipooooziii
all the best...vipi vijana wa PM 7 wapo?
Hao wapo kwenye pc zao wanatunga uongo wa Ngakarungu then watupie humu mkuu baada ya hukumu kusomwa.
powerrrrViongozi wote wachadema ndio wanaingia, watu pipooooziii
Mkuu hali si nzuri kuna kitu nimeelezwa kutoka ndani ya moja ya ofisi nyeti,kuna watu wanaweza kuzimia hapo.i mean kwamba matarajio ya wengi yanaweza kuwa kinyume mkuu!!!!!!!!!!lakini tusubiri ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!