Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Hajateseka mkuu bali kaimarika zaidi kwa kukijenga chama,imefika mahali magamba wakajuta kwanini alivuliwa ubunge kwa jinsi alivowachafulia hali ya hewa
Lema ameteseka vya kutosha....sasa arudishiwe haki yake
 
Kila kinachojili kwa dakika utujuze mkuu, si unajua msukumo wa damu leo upo juu.
 
Ikiwa Lema atashinda leo, hali ya kisiasa nchi itabadilika sana, na ushindi utapunguza sana volume ya mgogoro uliopo BAVICHA sasa hivi... u never know na huenda PM7 ikaingia kwenye maamuzi magumu iking'amua kuwa nguvu ya CHADEMA-Slaa imeongezeka!
 
Vip mahakama bado haijaanza? Saa 08:48
 
mzee wa kua panya anakosa gani ktk ye kufa ameshafika na wenzake wa viapo vya kichawi wa pm07 wapo wanatazamana kweli au wamesusa MWANAUME ASUSI wambieni wasubiri hukumu ndipo kikao chao kiendelee JF Wakikiendeleza sisi wajumbe hatuwasikilizi tunasikiliza hukumu na wafanye chao cha kichawi tukimaliza waje kupakana mi.ha.ro
 
Mkuu hali si nzuri kuna kitu nimeelezwa kutoka ndani ya moja ya ofisi nyeti,kuna watu wanaweza kuzimia hapo.i mean kwamba matarajio ya wengi yanaweza kuwa kinyume mkuu!!!!!!!!!!lakini tusubiri ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!

yote kheri akikosa ubunge ndio bora zaidi kwani kazi anayoifanya nje ya bunge ni best banaaaa
 
Kamanda Yericko Nyerere walete walete hao majaji,na kwa sababu umethibitisha kwamba hali ya hewa ni nzuri basi tunaamini tayari mambo ni mazuri,ila wale wanaoendelea kulumbana watuvumilie kwanza kwa muda wasiingize zile Thread zao za kujibizana kwa sababu najua kuna mwingien naye leo anakuja kumwagika humu,wasubiri kwanza tukishamaliza masuala ya hukumu basi waje humu tena tuanze kuona mnyukano wao.

Sisi CDM tuko tayari kwa matokeo yoyote ila jimbo CCM wasahau.
 
There are currently 248 users browsing this thread. (175 members and 73 guests).

Kuanzia majuzi kwenye thread ya Mamuya hadi leo ufanisi wa kazi ofisini kwangu umeshuka kwa 25%!

Kwenye masuala ya familia umeshuka kwa 50%, maana silali, nikitaka kusinzia tu, nashituliwa na breaking nyuz ya Shonza!... huh!

Sijui kwa wengine
.
 
Back
Top Bottom