Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Yeriko nakuaminia, hapa tutapata kitu live kweli kweli!!!!!

Tiba
 
Good, leo natabaki kwenye thread hii mpaka hukumu itakapoisha, kazi yangu itakuwa ni kurefresh tu.
 
Kila la heri G.Lema...kila la heri Chadema!
 
Yeriko nakuaminia, hapa tutapata kitu live kweli kweli!!!!!
Tiba
Mkuu, si YN tu, naamini hata commander Ben Saanane haogopi vifo vya panya, na ataripoti accordingly.
 
yericko..yericko...tunakuombea Mungu akutie nguvu ili utuletee taarifa hatua kwa hatua..
 
Leo mahakama imefurika mapema, hali ya hewa ni nzuri,

Updates:

Bado hukumu haijaanza kusikilizwa, nyuso za wakombozi zimejaa bashasha. Hii ni dalili nzuri kwa kupokea matokeo!

Mkuu hali si nzuri kuna kitu nimeelezwa kutoka ndani ya moja ya ofisi nyeti,kuna watu wanaweza kuzimia hapo.i mean kwamba matarajio ya wengi yanaweza kuwa kinyume mkuu!!!!!!!!!!lakini tusubiri ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
 
sehemu kubwa ya hukumu ya leo itakuwa ni kuhusu udhaifu mkubwa aliouonyesha jaji wa hukumu ya arusha jinsi alivyoboronga na mtaona jinsi majaji wenzake watakavyomponda kwa jinsi maamuzi yake aliyoyafanya kupitia maswali mengi wenyewe watakuwa wamejiuliza ktk panel yao.
 
Mkuu hali si nzuri kuna kitu nimeelezwa kutoka ndani ya moja ya ofisi nyeti,kuna watu wanaweza kuzimia hapo.i mean kwamba matarajio ya wengi yanaweza kuwa kinyume mkuu!!!!!!!!!!lakini tusubiri ilaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Sisi hatutashangaa maana CCM walishasema kwa hali na mali jamaa harudi
 
Back
Top Bottom