Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

nimeenda honeymoon,nitarudi tena bungeni-lema
ila hawa jamaa nahisi kama wameona madhara yake na M4C,..wamehujumu M4C kwa kiasi flani kwa kumrudishia ubunge
 
There are currently 2778 users browsing this thread. (1152 members and 1626 guests)

Mungu ni Mkubwa Tulianza na Mungu na tumemaliza na Mungu(dogo janja).

Hongera sana Chadema,Tundu Lisu Juuuuuuu,

PIPOZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

DSC00073.JPG


Ngoma mbele kwa mbele mpaka kieleweke wakuu
 
Tunaomba uhakika wa hukumu. japo inatolewa na mhimili unaoingiliwa ktk maamuzi.
 
Yupiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii ni siku njema leoooooo, ni siku njema leooooooo , lemaaaaaa hoyeeeeee m4c si kitoto!! Chadema hoyeeeeeeeeee, arusha mmeandika historia
 
Mahakama zinafata sheria. Walio kua wanasema hii kesi iko chini ya ikulu wako wapi sasa
Hivi wewe baada ya mkwala wa Lissu kuna Jaji anaweza kuisikiliza Ikulu tena kwenye kesi kama hii? Muulize Chande kilichomkimbiza ni nini utapata jibu. Itafute clip ya Lissu ya alichokisema kwenye mkutano wa TLS Arusha ndio utajua nasema nini
 
Hakika saa ya ukombozi imefika. Hongera kamanda Lema. Hongera Chadema. People's power! Asante Mungu kwa matokeo haya.

Hakika Mungu ni mwaminifu ktk maisha yetu kwani kipindi lema kavuliwa ubunge wale masalia PM7 na baba yao zitto walikwenda mliman city kusherekea lakin leo mchana kweupe wameumbuliwa.

WAO WANA PESA, SISI TUNA MUNGU.
UOVU umeshindwa na wema.
 
Jk kaingilia kesi ya lema kwamba hana hatia tehe tehe
 
PEOOOOOOOPLES...................................................!!!!!


Afadhari issue za akina Zitto, Juliana, Saanane and the likes tutapumzika nazo kidogo!!


X-mass imekuja mapema safari hii............. may be kwa kuwa leo ni mwisho wa dunia!! ingawa nimesikia kuwa kuna vipande vingine vya Maya's calender vimesaggest differently.

 
DSC00078.JPG



Hata mandata nao wamenywea umeona hapo mbele kwa mbele
 
Kwa wana janvi wote mulio live, Jamani hii habari ya kweli kwamba tayari majaji wameishatoa ruling kuhusu kesi ya Lema? Mbona media/radio hawajatangaza? Niko nasikiliza RAdio 1 wanipe habari kupitia breaking news yao lakini hawatoi.

TBCCM wametangaza saa nne. Confirmed.
 
Back
Top Bottom