Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

Je wale viherehere waliofungua kesi nani atawalipia gharama zake endapo CCM watawaruka?
 
There are currently 2229 users browsing this thread. (1025 members and 1204 guests)
 
Hapa taswira, malinda, kimbunga, chil sosi, masalia na vigagula havisogei kabisa au vinachungucheka tu
 
Wadau wenye habari tujuzeni yaliyojiri huko dsm kwenye kesi ya kamanda wetu lema
 
Vipi safari ya msituni bao ipo au yale yalikuwa maneno ya njaa?
 
Natofautiana nawe hapo, anapaswa kuwatumikia wananchi wote wa jimbo lake na watz bila ubaguzi, au vp mkubwa?

Mkuu Kamuzu,
you are absolutely right..nimeteleza na naomba radhi kwa hilo, apaswa/anapaswa kuwatumikia wananchi wa jimboni kwake na wananchi wa Tanzania kwa ujumla(mf. awapo Bungeni).
 
Last edited by a moderator:
Huyu Justice Nathalia Kimaro ni kati ya majaji waonaostahili heshima, nimekua nikifuatilia kesi za rufaa nyingi anastahili tuzo ya utumishi uliotukuka
 
Kwa nini wadau mnatunyima picha na angalau maneno machache yaliyosemwa baada ya kesi jamani??? yaani nataka kusikia Lema amesemaje ndo nilale
 
There are currently 2451 users browsing this thread. (1075 members and 1376 guests)
 
Nashangaa Radio 1 hawajaitoa kama breaking news, maana hii ni ajali mbaya kwa ccm, na jamaa ni wazuri sana kwenye eneo hilo(breaking news za ajali ajali).

mhe Kamuzu,inawezekana hawajaelewa vizuri kuwa hii si ajali ya kawaida bali ni dhoruba kwa CCM.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom