Lema: Arusha hakuna CCM

Lema: Arusha hakuna CCM

We tulia waarusha wajitambue, maana umeweka maandamo ya kutosha na kusababisha fursa nyingi kukosekana katika mji wao. Subiri waitafakari hii kauli kwanza, kwamba Mangi Sina wa MBOKHOM yupoyupo sana.

Warusha ndio sisi ----- wewe atuli kizamvu ndio maana tuna mwitaji kamanda lema kiboko ya naccm ccm kupata ubunge arusha nisawa na mjaluo kuimba taarabu
 
Lema ukipita kwnye kura za Maoni ni bahati saana .
Timu yako uliyofanya nayo kazi 2010 na kuupata ubunge yote umeisaliti,uliwatumia kama Condom bila kujua watakuja kuwa msaada wako 2015.
Sasa mda wao umefika na huu ndio utakua wakati wao wa kurevedge .

Omba saaana chama kikupitishe.

Akili ndogo wewe nimpiga kura kwenye kura za maoni? Ongea kitu cha kueleweka lema ndio rais wa arusha
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri ccm iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti `. Arusha sitarajii kushindana na ccm ila ccm wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema

Ni Mpumbavu tu atakayesema Kuna ccm Arusha. CCM Arusha walishakufa. Nasikia Kuna mpumbavu kaandaa fungu eti kushindana na Lema, hajajua maccm yanataka kupiga dili
 
Kamanda lema endelea kupambana maeneo mengine yapate elim ya uraia Kama sisi wana arusha mkuu huku wewe nimbunge wa kudum acha magamba ya bwanyanye
 
Kwa wale ambao hawaijui arusha, habari ni kwamba tutabakiza majimbo mawili tu, la monduli na longido, the rest to chadema
 
Watu wana jua Ubunge ni kuchimba mawe kuna viradio uchara vinaita watu eti na wao wanataka ubunge arusha chajabu masalia ya ccm sasa ivi yana piga kapeni yakijinga kweli wana sema kweli chadema nichama kizuri lakini tumweke mtu mwingine agombee kupitia chadema wata mchagua kweli lema kawashika pabaya
 
Ni Mpumbavu tu atakayesema Kuna ccm Arusha. CCM Arusha walishakufa. Nasikia Kuna mpumbavu kaandaa fungu eti kushindana na Lema, hajajua maccm yanataka kupiga dili
Tutatumia Kalamu na Taluma yetu ya uwandishi kuwaeleza wananchi wa Arusha na viunga vyake kazi nzuri ya Mh Godbless J Lema maana tumekuja tukajionea naninarudi tena kuja kuweka kambi hapo

Cc. Tumaini Makene, Chadema Kwanza, Molemo, Crashwise, Standalone, Mungi
 
Nataka Ubunge arusha mjini kwasababu mke wangu alijifungua nika muomba Mh lema pesa akaniambia komaa kamanda akanipa elfu arobaini wakati nili mpigania kupata Ubunge ujinga mtupu lema alikwambia uwowe kabla uja jipanga alafu mtanga zaji wa hio radio anampongeza ubogaz
 
Mkuu usijaribu kufuta mjadala ambao ni wakotaifa kuhusu utesaji na ugaidi uliofanyika kwenye chumba cha kutesea watu pale ufipa Guantanamo!

Na mnukuu Khalidi

" “Jamani hiki chama ambacho kina ndoto
ya kuchukua nchi leo kinaandaa
mipango ya mauaji na utesaji kama
walivyonifanyia? Maana wameniteka na
kunifungia kwenye chumba cha utesaji
wanachomiliki wao wamechoma visu na
kuweka kwenye Mashine ya umeme bila
kosa lolote, eti wakinishinikiza mimi
nitaje wanaonituma, jamani nawaambia
mimi hanitumi mtu” ameedelea kusema
Kagenzi.


kagenzi hajateswa jamani.... au tumesahau Yale ya ULIMBOKA na yule jamaa wa baraza la wahariri KIBANDA.... mbona tunapenda kukuza mambo wakuu... mtu kateswa akatoka na meno 32 na kucha zake 20....!!!!! hebu tuacheni propaganda...
 
Watu wana jua Ubunge ni kuchimba mawe kuna viradio uchara vinaita watu eti na wao wanataka ubunge arusha chajabu masalia ya ccm sasa ivi yana piga kapeni yakijinga kweli wana sema kweli chadema nichama kizuri lakini tumweke mtu mwingine agombee kupitia chadema wata mchagua kweli lema kawashika pabaya
Watasubiri sana Lema nikamanda wa ukweli na kazi yake imetukuka
 
CHADEMA Arusha lazima washinde ila kwa kusema ukweli tu ni kwamba kama Lema atapita tena ni bora aweke mikakati ya kimaendeleo inayoonekana kwani jiji limepunguza kasi ya maendeleo suddenly..wanapambana na ccm then wanasahau kuitekeleza ilani ya chama.
 
Lema amefanikiwa sana kwa Arusha,Movement ya delete ccm arusha ilifanikiwa kwa asilimia kubwa,na nguvu hizo zinajitania kwenye majimbo mengine.Ole medeye anajua fika kwamba hali yake siyo shwari.
Bravo kamanda Lema.Una mchango mkuwa katika ukombozi wa kifikra kwa Watanzania@Godbless J lema
 
Tutatumia Kalamu na Taluma yetu ya uwandishi kuwaeleza wananchi wa Arusha na viunga vyake kazi nzuri ya Mh Godbless J Lema maana tumekuja tukajionea naninarudi tena kuja kuweka kambi hapo

Cc. Tumaini Makene, Chadema Kwanza, Molemo, Crashwise, Standalone, Mungi

Kama siyo Mbunge Lema mtaani kwangu tusingejua kinachoitwa bomba la maji..... Lema ametufanya tujisikie fahari ya serikali kuwatumikia wananchi, tofauti na mfumo WA zamani WA ccm ambapo wananchi tuligeuzwa misukule
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri ccm iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti `. Arusha sitarajii kushindana na ccm ila ccm wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema

Our MP
 
Nataka Ubunge arusha mjini kwasababu mke wangu alijifungua nika muomba Mh lema pesa akaniambia komaa kamanda akanipa elfu arobaini wakati nili mpigania kupata Ubunge ujinga mtupu lema alikwambia uwowe kabla uja jipanga alafu mtanga zaji wa hio radio anampongeza ubogaz

Hahaha.... Mpumbavu gani huyo mkuu? Yaani mke amuoe yeye, amzalishe yeye, halafu hela ya matunzo atoe Lema? Bora angeomba mbegu ili apate mtoto jasiri mazee
 
Kama siyo Mbunge Lema mtaani kwangu tusingejua kinachoitwa bomba la maji..... Lema ametufanya tujisikie tayari ya serikali kuwatumikia wananchi, tofauti na mfumo WA zamani WA ccm ambapo wananchi tuligeuzwa misukule
Na hapo ndio utakubali na wana Arusha watakubali lema ametimiza majukumu yake Arusha kwa ustadi mkubwa sana ccm walikuwa wameliaribu sana jimbo la Arusha lakini mda mfupi sana Mh. Lema alivyokua mbunge kuna mabadiliko makubwa sana kwenye jimbo la Arusha mjini lema amelimudu sana jimbo la Arusha mjini na baado kuna mengi makubwa sana anayotarajia kuyafanya nitaendelea kuyaweka kwenye makalazangu nitakazokua naendelea kuzileta hapa Jf

Mwanahabari Huru

Cc. Tumaini Makene, Chadema Kwanza, Molemo, Greenwhich, Standalone, Crashwise, Mungi
 
Back
Top Bottom