MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Yaani wanamtumia mpaka mzee Sarakikya!
Mtu mzima akiumbuka rahae?? Wakumbuke kile kipigo cha Temeke enzi za Mrema na serikali yote ilikuwa Temeke mpaka presidaa wao..Nasikia rraaahaaaa.
Yaani wanamtumia mpaka mzee Sarakikya!
Kaka upo! bado wazee wa chama (Hawa Ghasia) hawajakushughurikia? nakumbuka waliahidi kukunyoosha maana ulianza kuonesha tabia za kupindapinda. Kila la heri, lakini ujue fika kwamba viwanja hivyo Bashe hatakosekana.Tutakutana Arumeru! Tarehe 1/4/2012 msizime simu kama tulivyowakimbiza Igunga...
Ephata Nanyaro upo?????
Just Loading...!
KUNDI LA WAZEE WA MERU WAMEMTAKA BW GODBLESS LEMA KUTOSHIRIKI KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KUZIBA NAFASI IIYOACHWA WAZI NA MAREHEMU J SUMARI ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO HILO KWA TIKETI YA CCM.
SABABU WANASEMA ALITOA MATAMSHI WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAREHEMU KWAMBA "SASA SUMARI AMEKUFA HILI JIMBO LAZIMA LICHUKULIWE NA CHADEMA" KWA HIYO AMEWAVUNJIA HESHIMA'
HABARI ZAIDI SOMA HAPA:DailyNews Online Edition - Meru elders ban MP Lema
Tutakutana Arumeru! Tarehe 1/4/2012 msizime simu kama tulivyowakimbiza Igunga...
Ephata Nanyaro upo?????
Just Loading...!
Daily news la Ally Mkubwa ha ha Dr Slaa will never be a fifth president,nchi imeanguka,Serikali imezidi kuwa rojorojo hana aibu mpaka leo anashabikia chama ipo siku bwana Ally mkubwa utayaona
sometimes unakuwaga fair aisee
Kweli inasikitisha kumbe hata mzee wetu Gen Sarakikya Rtd hajui kuwa chama hiki kinaongozwa na mafisadi???????Yaani wanamtumia mpaka mzee Sarakikya!
kama kuna watu nawapenda ccm ni huyu nchemba na ile picha ya kapuya akipekechwa na mtoto, hahahahaa
wana ccm huko wenye wake zao, kasheshe hiyoo inakuja. Ukiona mpenzi wako kavaa scarf bendera ya taifa basi wewe anza kuhesabu tu maumivu na kuwa wameshakulia. Na kwa ccm, ukitaka kula, kubali uliwe kidogo.
Mwigullu nchemba, kiboko ya wanawake wa igunga. Sasa atatembeza ubabe wake arumeru na si ajabu kashaanza.
Kweli inasikitisha kumbe hata mzee wetu Gen Sarakikya Rtd hajui kuwa chama hiki kinaongozwa na mafisadi???????
Karibu Mheshimiwa Arusha kwa vile ni member wa JF si vibaya ukafahamiana na members wenzako!!! Ila Mkuu Arumeru sio mchezo, njoo ukutane na machalii wa Kimeru!!!Tutakutana Arumeru! Tarehe 1/4/2012 msizime simu kama tulivyowakimbiza Igunga...
Ephata Nanyaro upo?????
Just Loading...!
Ni vizuri Lema nae aende Arumeru, pakanuke vizuri.
Mkuu unaonaje huenda kampeni za udini zisiwe na nguvu Arumeru?
Siwezi kuhukumu kitu ambacho akijatokea, kwa hiyo siwezi kusema chochote kwenye suala hilo.