Lema apigwa stop kukampeni Meru

Uliwahi kuona wapi mnacheza mpira then unamwambia striker asisogee gorini ss atafungaje?****** mtupu
 
Tutakutana Arumeru! Tarehe 1/4/2012 msizime simu kama tulivyowakimbiza Igunga...
Ephata Nanyaro upo?????
Just Loading...!

Mhe. Dr. Kigwangalla heshima yako mheshimiwa!

Lakini hiyo 1/04/2012 ni SIKU YA WAJINGA DUNIANI.

Huyu M/kiti na Mkurugenzi mpya wa NEC wameanza na bad move!

On a serious note tunataka fair and free election, Hope huko hakutakuwa
na siasa za kuvuana Hijab kama Igunga na Mama Kimario na BAKWATA!
 
hakuna mantiki iliyopo hapa wasiwe na hofu igunga tumejifunza mengi .peoples poweeeer.
 
Hahahaaa.....

Real Madrid anaagiza kuwa Barcelona wasije na Leonel Messi.... kwa kwa kwa kwaaaa !!!!!!

Ivory Coast wanasema "Christopher Katongo asicheze na wala hatutaki kumuona uwanjani" lohhh!!!!

Mi nilijua amepigwa stop kwa amri ya mahakama kumbe ni CCM, hii ni sawa na kwenda uwanja wa vita huku ukiwaambia adui kuwa marufuku kuja na silaha kali, ebo! sasa wewe kama unaogopa silaha kali unataka vita ya nini?, si uingie mitini tu uache adui achukue nchi.

Hii inanikumbusha enzi za 'cha ndimu' mtu akija amevaa daluga tunamwambie avue la sivyo hatuchezi nae mpira.
 
KUNDI LA WAZEE WA MERU WAMEMTAKA BW GODBLESS LEMA KUTOSHIRIKI KWENYE KAMPENI ZA UCHAGUZI MDOGO KUZIBA NAFASI IIYOACHWA WAZI NA MAREHEMU J SUMARI ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO HILO KWA TIKETI YA CCM.

SABABU WANASEMA ALITOA MATAMSHI WAKATI WA KUAGA MWILI WA MAREHEMU KWAMBA "SASA SUMARI AMEKUFA HILI JIMBO LAZIMA LICHUKULIWE NA CHADEMA" KWA HIYO AMEWAVUNJIA HESHIMA'

wakitaka uchaguzi ucifanyike walizuie jembe lile.. na wakitaka kujua kama jembe limepinda bac wamuwekee pingamizi waone moto.. hapo arusha mjini na mapolisi wote pamoja na rc.. bado wanashaa.. itakuwa huko arumeru.. pamoja kamanda..
 
Mbona kampeni hazijaanza Magamba yashaanza kutapatapa?
Walisema wanampa Lowassa mikoba vipi bado Lowassa anapwaya?
Hawajapata kisingizio kingine? kama Igunga na Uzini?
R.I.P CCM
 
Huu ni uoga&kelele zinazofanywa na wazee wa CCM,walio rubuniwa kwa vijisenti vya kunywea kahawa.M.A.G.A.M.B.A'S wanaufahamu fika muziki wa Lema kuwa unatisha,thus why wameanza kutumia mbinu zao chafu!
 
Kama kuna watu nawapenda CCM ni huyu Nchemba na ile picha ya Kapuya akiPEKECHWA na mtoto, hahahahaa :)

Wana CCM huko wenye WAKE zao, kasheshe hiyoo inakuja. Ukiona Mpenzi wako kavaa Scarf bendera ya Taifa basi wewe anza kuhesabu tu maumivu na kuwa wameshakulia. Na kwa CCM, ukitaka kula, kubali ULIWE KIDOGO.

Mwigullu Nchemba, kiboko ya Wanawake wa Igunga. Sasa atatembeza ubabe wake Arumeru na si ajabu kashaanza.
Yaani wanamtumia mpaka mzee Sarakikya!

nchemba+2.jpg
 
wazee wa arumeru au wazee wa ccm? Fafanua.

Na bado; hizi ni rasha-rasha, subirini za masika zianze kwa nyie (ccm) ambao bado mpo mabondeni.

hivi ccm wanaposoma kwenye jf na kuona jinsi watz wasivyokubali tena mawazo maneno na sera zao mbovu wanajisikiaje. Ningekuwa mwana magamba ningepima upepo na kuangalia alama za nyakati na kuhamia chadema faster japo najua pesa za epa za mafisadi ndo zinazowaweka huko ila kihalisia hata wana magamba hawapendi kabisa
 
kundi la wazee wa meru wamemtaka bw godbless lema kutoshiriki kwenye kampeni za uchaguzi mdogo kuziba nafasi iiyoachwa wazi na marehemu j sumari aliyekuwa mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya ccm.

Sababu wanasema alitoa matamshi wakati wa kuaga mwili wa marehemu kwamba "sasa sumari amekufa hili jimbo lazima lichukuliwe na chadema" kwa hiyo amewavunjia heshima'

habari zaidi soma hapa:dailynews online edition - meru elders ban mp lema

wazee si wanatakiwa kujivua gamba au nimesahau? Kwa hiyo hao wazee ni nec ya jimbo la arumeru sasa. Ukivunjiwa heshima si unaenda kushitaki polisi jamani, wasomi wa arumeru waelimisheni wazee wenu juu ya jambo hili.
 
Mi nilijua amepigwa stop kwa amri ya mahakama kumbe ni CCM, hii ni sawa na kwenda uwanja wa vita huku ukiwaambia adui kuwa marufuku kuja na silaha kali, ebo! sasa wewe kama unaogopa silaha kali unataka vita ya nini?, si uingie mitini tu uache adui achukue nchi.

Hii inanikumbusha enzi za 'cha ndimu' mtu akija amevaa daluga tunamwambie avue la sivyo hatuchezi nae mpira.

Ha ha ha umenikumbusha mbali kweli!! Kwahiyo ccm wanafanya vitu ulivyofanya utotoni?
 
Wamempiga marufuku wao kama nani?wanaleta sheria za majumbani kwao kwenye siasa,mamlaka yao yanaishia CCM na majumbani kwao tu.

Hawa wangekuwa kenya wangekuwa wakipigwa na wake zao wamshukuru Mungu wanawake wa Tz hawakapata mwamko mkubwa kama wa kenya
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom